Naomba mniwie radhi kwa wawe ambao nitawakwaza.
Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto mmoja au wawili, asiwe na umri wa zaidi ya miaka 38. Tafadhali kama unahitaji hilo naomba uni-PM. Sababu za hitaji langu na jinsi ya kutunza watoto/mtoto tutafahamishana baada ya kupata PM yako. Pia taarifa zangu binafsi tutajulishana baada ya kupata PM yako.
Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto mmoja au wawili, asiwe na umri wa zaidi ya miaka 38. Tafadhali kama unahitaji hilo naomba uni-PM. Sababu za hitaji langu na jinsi ya kutunza watoto/mtoto tutafahamishana baada ya kupata PM yako. Pia taarifa zangu binafsi tutajulishana baada ya kupata PM yako.