Huyo HG anaonana na hubby less than masaa 2 weekdays. Kama ni kuogopa basi ogopa warembo walomzunguka mumeo kazini...iambie serikali iweke amri ya kukataza wadada kujiremba makazini...
Akyanani siwezi jipa pressure ziso na lazima...do me I do you...I am not that weak hadi nichukie na kuwa suspect warembo wote...
Kwanza sitakagi hg mchafuchafu mpaka mgeni ajue bila kuuliza kuwa huyu ni HG...
Na hakuna masharti yoyote nyumbani kwangu...aliye ndani ni mwanafamilia ana uhuru wa kuongea na baba au mama freely
Inasikitisha sana ukiwa na mke anayekuona kuwa huwezi kupitwa na sketi...hasa ikiwa ni wasiwasi wake tu...kumbe ndio maana wife akisafiri anampa likizo hausgel, kwann wanawake mnakuwa na mawazo ya namna hii? ni dalili za kutokujiamini
hahahaaha.. kui sikuona comment yako asee! for real, tunahitaji pacifier coz hata watoto wana afadhali. Kuna mambo hatuhitaji kufanyiwa kwa kweli, basi tu huu mfumo dume unakandamiza jinsia moja!!Afadhali wewe mwanaume umesema, I think mikono yenu na miguu yenu inaacha ku function the moment mnao!, naona mpaka mnaoshwa, mnatayarishiwa nguo!, mnavalishwa?!, kilicho baki ni kulishwa halafu tukimaliza kuwalisha tutawawekea pacifier.......
Kitulo
na ahakikishe pia ananunua chupi maalum yenye kufuli ambayo atakuwa anamvalisha mumewe kila siku huku funguo akibaki nazo yeye
hahahahaaaaa .... nimeipenda hiii hata amtan vip dushe limefungiwa. af kumbuka mkimaliza ku do unaifungia tena mana uck anaweza kukutoroka lol
Kitu chochote kikiharamishwa au kulindwa sana ndo huwa na thamani kubwa.
maombi ni silaha tosha mengine hapo juu ni marupurupu tu..unaeza ukafanya yotee still akamlamba housegal..
Pamoja na mke kufanya yooote hayo unatakiwa umwombe sana MUNGU aisimamie ndoa yenu vinginevyo inaweza isisaidie kitu
Yaani umetoa bonge la solution,tena chupi yenyewe iwe ya bati,maana hakuna njia ingine.Kitulo
na ahakikishe pia ananunua chupi maalum yenye kufuli ambayo atakuwa anamvalisha mumewe kila siku huku funguo akibaki nazo yeye