tonii herrera
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 350
- 195
nd hivo asee.wadada nw wajitahd kuwa wasanii wamapnz kulinda ndoa zao
Kunguru hafugiki bana kama mwanaume anajiheshimu na kuipenda familia Yake hawezi kutembea na Dada wa kazi
Kma mume ni kiwembe hata ueke mambo vizuri vipi atatembea nae
Huyo HG anaonana na hubby less than masaa 2 weekdays. Kama ni kuogopa basi ogopa warembo walomzunguka mumeo kazini...iambie serikali iweke amri ya kukataza wadada kujiremba makazini...
Akyanani siwezi jipa pressure ziso na lazima...do me I do you...I am not that weak hadi nichukie na kuwa suspect warembo wote...
Kwanza sitakagi hg mchafuchafu mpaka mgeni ajue bila kuuliza kuwa huyu ni HG...
Na hakuna masharti yoyote nyumbani kwangu...aliye ndani ni mwanafamilia ana uhuru wa kuongea na baba au mama freely
Huko ni kutishana tu
kama una mpa gemu ya nguvu mkiwa pamoja
hatapata sababu ya kuchepuka
Na ndio wengi....wewe chunguza wale wanawake wife material (kibongobongo) ndio waume zao vyupi mkononi....wanakula hg zao na kama haitoshi na wa majirani wanachanganya, mashemeji humo humo....sa sijui utaweka masharti hadi kwa majirani....huna kazi ya maana ya kufanya"kuna watu wnafanyiwa kila kitu na wake zao lakini kila hausg anapotia maguu lazima alambe"
kuna member alisema hapo juu sasa sijui chanzo ni nini
Tukumbuke kwamba Kuna wanaume hawaridhiki.hata umpe.moyo wako huwa hawarithiki..NB.......ni baadhi lakini.sio wote.
Ndugu yangu pilau la nyumbani na hotelini ni tofauti,ombea tu asimuonje
Hv asubuhi wewe mwanamke umeamka,umemuandalia mumeo maji ya kuoga,umemuandalia chai,umemuandalia nguo&viatu.Usiku umemuandalia chakula,hadi mikono unamnawisha,maji ya kuoga umeandaa,umeketi mezani na mumeo.Hata akihitaji chumvi wewe unasimama unamsave.....
Huyo mume amekatika mikono hadi HG aingie na kusafisha chumba? Yaani mnaishi wawili ndani ya chumba na mshindwe hata kukisafisha? Kuna mambo HG hatakiwi kuwafanyia...
Ukimtamani HG hata binti yako unaweza kumtamani, kumbuka yule ni kama binti yako hata kama ni msaidizi wenu..bado ina jukumu la kumlea!
Kuna baadhi ya watu wa kabila moja hivi nyanda za juu kusini msichana akienda kufanya kazi Za hg anaambiwa asiende kufanya kazi tu Bali atafute na mume, huyo mume anaweza akawa baba mwenye nyumba na madawa ya kienyeji ya kumzuzua mwanaume wanapewa na mama zao.
Changamoto za hg ni nyingi.