GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,029
- 126,474
Hahahaaaaaaaaa,,,,,,,yani wewe mtu sipati picha ulivyo
Wowowowowooo sasa sitahangaika kununua mto Nile
Nilikuwa natumia jf as a guest nilikuwa nasoma sana nyuzi zako ukiwaita watu popoma wanakwazika sana ndio.Ni mtu mmoja wa kawaida sana tu Mkuu na wala huwezi kudhania na kuamini. Hivi ilikuwaje lakini hadi ukapenda kujiita neno langu pendwa hilo la Popoma Mkuu? Huwa nacheka sana nikiona hii ID yako na najiuliza nini kilikufanya hadi ukajiita hivi. Ni matumaini yangu pia siku si nyingi kuna Mtu mwingine tena atajiita neno pendwa langu lingine la Ngumbaru.
Nilikuwa natumia jf as a guest nilikuwa nasoma sana nyuzi zako ukiwaita watu popoma wanakwazika sana ndio.
Nilimuuliza mzee mmoja hapa mtaani akanambia maana ya popoma kuwa ni mjinga,mpumbavu basi nikawa nimelipenda
Sawa boss wangu ila nyuzi zako huwa nazikubali sana pale unapowatoa watu mapovuHaya bhana ila Mjinga haitwi Popoma bali anaitwa Ngumbaru na Mpumbavu ndiyo anaitwa Popoma. Anyways kila la kheri Popoma na tupo pamoko / pamoja.
Chura sasa ukiwa unafanya Dissection lazima uitwange Mia kabisa
Unamfurahia au unashangaa?