Kwa wanaume wenye ndevu

....wasi wasi wangu ni kwamba unaweza kuzuia ndevu zisiote then hizo nywele zikajikusanya ukaota mkia.....
<br />
<br />
dah! We mkali mkuu,nimecheka mpaka watu kwenye daladala wamenishangaa.
 
mmh! mbona wewe mbaguzi hivyo kuna wanawake wana ndevu pia kwa hiyo naona hii inawahusu pia
 
Mi nimeshatumia dawa ya kimasai na hazioti.
<br />
<br />
kama hautak ndevu omba matiti. Wanawake wamepewa matiti sis wanaume tumepewa ndefu, wewe unazikataa unataka nin?.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…