Nyalotsi JF-Expert Member Joined Jul 20, 2011 Posts 6,989 Reaction score 5,068 Aug 27, 2011 #21 Tanganyika1 said: ....wasi wasi wangu ni kwamba unaweza kuzuia ndevu zisiote then hizo nywele zikajikusanya ukaota mkia..... Click to expand... <br /> <br /> dah! We mkali mkuu,nimecheka mpaka watu kwenye daladala wamenishangaa.
Tanganyika1 said: ....wasi wasi wangu ni kwamba unaweza kuzuia ndevu zisiote then hizo nywele zikajikusanya ukaota mkia..... Click to expand... <br /> <br /> dah! We mkali mkuu,nimecheka mpaka watu kwenye daladala wamenishangaa.
E emoshi Member Joined Apr 2, 2011 Posts 28 Reaction score 1 Aug 27, 2011 #22 mmh! mbona wewe mbaguzi hivyo kuna wanawake wana ndevu pia kwa hiyo naona hii inawahusu pia
Mzee Platinum Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,867 Aug 29, 2011 #23 Gama said: Mi nimeshatumia dawa ya kimasai na hazioti. Click to expand... <br /> <br /> kama hautak ndevu omba matiti. Wanawake wamepewa matiti sis wanaume tumepewa ndefu, wewe unazikataa unataka nin?.
Gama said: Mi nimeshatumia dawa ya kimasai na hazioti. Click to expand... <br /> <br /> kama hautak ndevu omba matiti. Wanawake wamepewa matiti sis wanaume tumepewa ndefu, wewe unazikataa unataka nin?.
Becha666 New Member Joined Nov 30, 2022 Posts 1 Reaction score 0 Dec 14, 2022 #24 Kibukuasili said: hebu tupe maelezo ya kutosha Gama. Ya kimasai haiwezi leta kansa. Click to expand... Nisaidie bac na mm hii namba
Kibukuasili said: hebu tupe maelezo ya kutosha Gama. Ya kimasai haiwezi leta kansa. Click to expand... Nisaidie bac na mm hii namba