ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Hebu jiulize kwamba leo Mungu anaamua kutoa adhabu kwa kila mwanaume ambaye ktk masuala ya mapenzi-iwe ameoa au bado yupo yupo-ameshawapitia wanawake zaidi ya 10 tangu alipoanza kuwajua wanawake.
Kwamba kwa kila mwanaume ambaye amepita hiyo 'benchmark' ya kuwa ameshafanya mapenzi na wanawake zaidi ya 10 ktk maisha yake, basi 'kitendea kazi' chake kitapotea mara moja na pale mahali patabaki 'flat'. Hebu nipe jibu sasa hivi, unadhani ni wanaume wenzio wangapi leo hii vitendea kazi vyao vingekuwa havipo? Je na wewe ungekuwa kwenye huo mkumbo wa kupotelewa na hiyo kitu?
Jiulize halafu nijibu!
Kwamba kwa kila mwanaume ambaye amepita hiyo 'benchmark' ya kuwa ameshafanya mapenzi na wanawake zaidi ya 10 ktk maisha yake, basi 'kitendea kazi' chake kitapotea mara moja na pale mahali patabaki 'flat'. Hebu nipe jibu sasa hivi, unadhani ni wanaume wenzio wangapi leo hii vitendea kazi vyao vingekuwa havipo? Je na wewe ungekuwa kwenye huo mkumbo wa kupotelewa na hiyo kitu?
Jiulize halafu nijibu!