sambenet
Member
- Mar 5, 2011
- 47
- 7
Uko sahihi kaka, ila watu wanfanya makosa makubwa kuangalia uzuri wa nje na urembo, mwisho wa siku ni kilio.
Fanya makosa mengine lakini usifanye kosa kwenye kuoa/kuolewa,itakuvurugia future nzima,ingawa watu huwa wanasema wako wengi me naona kama ni upotoshaji tu.