I see
Kuwa mwanamke ni kazi sana
Oyeee!Thanks for advice, vidume hoyee!
I see
Kuwa mwanamke ni kazi sana
Wanaume wenzangu oyee! Shwari?
Naomba wanaume wenzangu mtambue tabia za dada zetu, wake zetu na mama zetu.
Katika kila siku tatu mpaka tano katika mwezi dada zetu, wake zetu na mama zetu huwa wanapatwa na uchizi. Kwa hiyo siyo kila jibu baya litokalo kwao likuumize na pengine likufanya uchukie na kumdhuru. Tuwe na huruma kwa sababu mungu ndio alivyo umba.
Wanaume oyee!
Onyesha mfano katika jamii ya kuwaheshimu wanawake.
Jukumu letu ni kuwapenda sana wake zetu
Asanteni
wanawake tumeumbwa manyanyaso na kusakamwa.
Mkuu hacha tu. From no where unapata jibu ambalo ukutegemea.
Mfano wanaume wakitoka mbele wewe utatoka. Au anakuambia wewe mwanaume suruali tu.
Nivyema tuwafahamu na kuwapenda