Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,564
- 109,103
point yako ww umesema huwezi kutangaza unaona kama ni upuuzi.
Lakn wakat huo umesahau kuwa umetuambia umbedate na wanawake wawili tofauti. Sasa hapo unatofauti gani na anayetangaza?
Kwan kulikuwa na ulazma gani wa kuesema wanawake uliogegeda?
mmmh miss chagga hata dushe la celebriti hautahadithia kw
Miss Chagga.
Inategemea, in Most cases ni Ufahari, its our nature, Ndio maana mwanaume hawezi ridhika kuitwa mpenzi, kama hajapewa Tunda, kabla ya kuuliza hilo, angalia namna wanaume tunavyopata shida kuwapata warembo, gharama tunazoingia, na kila kitu, ukifanya yote hayo halafu usipewe Papuchi, ww ni ----, ukifanya hayo yote kisha ukapewa Papuchi ww ndio Mwanaume.
To a Man, Sex is a Goal, he desire to accomplish, its nature, ni kama ilivyo kwa mwanamke kukataa kutoa papuchi japo wote tuna burudika.
Lakin, kukaa kijiweni na kuanza kujisifia ni Utoto, lakin pia Inategemea attitude zq huyo mchumba, kama alikuwa anajishaua yy ni wa ghali, halafu nikampata ata a cheapest cost, obvious nitakuwa nimepata cha kusimulia.
Majority ya Wanaume, we value Sex more than Love, huwezi sikia mwanaume analalamika eti hapendwi, ni nadra sana, ila utasikia ana lalamika ananyimwa Papuchi, na siku akipewa ama make sure, anaiacha ya moto kama umemwagiwa maji moto, hapo lazima atasimulia.
Nadhan hata wanawake mnasimulia, Ukimpata wa kukunja vizuri, utasimulia, Ukimpata boya asiejua kitu, uyasimulia pia. Na wanaume, tunasimulia.
Wakat mwingine, tunasimulia as defensive mechanism, yaani unasema umekula tunda, ila machalii wapunguze kumsarandia mchumba ako.
Yaaani, Fanya yote kwa mwanamke, lakin make sure anakupa Papuchi, akikunyima, unaeza kufa kwa mawazo.
Aiseee kumbe siwez kutiwa nikaadithia hata siku moja kwanza naona aibu
Aaah wapi kutiwa kutiwa tu
miss chaga usitegemee majibu sahihi ya swali lako hapa kila mtu atajifanya yeye atangazagi kwa masela
nikuhakikishie ni vigumu kidume kumgonga demu alafu asiseme kabisa ni VIGUMU mno
Mambo rafiki
Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:
Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.
- Ni ufahari/ushindi?
- Starehe?
- Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
kwa hiyo wewe hujawahi kusema hivyo? kwa sababu unakuta mtu kabisa anamkosesha dada amani kisa kamla jamani
Hata beberu akishaona utu.pu wa mbuzi jike...lazima anuse, anyanyue kichwa juu na kushukuru..ha ha!
It's done by teens..mtu mzima hawezi sema kwa watu amemlala flani na yuko vipi kwa bed..!
Aaah wapi kutiwa kutiwa tu
Mambo safi.
Jibu la ukweli ni hili:
Kabla ya kukufuatilia huwa mwanamme hana nia ya kuwa na wewe nia yake ni moja tu umpe papuchi kisha ibaki stori kwa wote.
Huu ni mchezo hasa kwa wale wakina dada wenye majibu ya dharau dharau ndio huwakuta. Kwa mfano mtu akikusalimia wewe unampa majibu machafu bila wewe kujua kuwa yale majibu yamesikiwa na rafiki yake ambaye ndie anaeumia hivyo huyo rafiki ndie atakaekuja kwako mukaenjoy kisha ukishampa papuchi stori nzima anapewa yule uliemdhalilisha na hapo mkija kuonana tena hukuchokoza kwa makusudi ukitoa lugha chafu nae anakupa stori yajo mwenyewe.
Nadhani umeelewa vema.
Sisi wanaume huwa tunafanya makusudi kwa kuwa hatupendi nyodo.
Mapozi kupita kiasi.
Mpodolo.
Dharau.
Dhihaka.
Kutengwa.
Kusimangwa.
Ukiona kuna stori za mwanamke kuhusu mambo yake ya papuchi basi ujue tabia hizo hao juu ndio kawaida yake na hapo ndio anakomolewa.
Ahsante kwa kunisoma
Teh, Hili neno "kamla" limekuwaje hapa!
Mambo rafiki
Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:
Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.
- Ni ufahari/ushindi?
- Starehe?
- Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
Wanaokataa ni wanafiki,Sawa tutawajibu basi na nyie mtujibu kwa nini mwafanya hivi? Kwa nini kutunyima raha?
Duh karibu tenaWanaokataa ni wanafiki,
Sababu za kufanya hivyo
1. Nyodo za vidosho wakati unakisarambia.
2. Kubadilishana uzoefu.
3. Usipohamasisha wenzako kupiga kazi(Kubunya) ni kupelekea wanaume wengi kama si wote kudharaulika(Tunaitwa Wabovu kitandani-rejea thread zenu humu "Kwa nini wanaume wengi siku hizi ni wabovu kitandani.
4. Biashara ni matangazo kwa taarifa yako wanawake wengi hugongwa hata kama wameolewa baada ya sifa hizo kuvuma(Kutaka kuonja na kuthibitisha)
Kwa upande wangu ruksa kusimulia ila sio kwa kudharirishana bali kufundishana na kuhamasishana.
Asante! miss chagga