Kamanda Moshi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,876
- 2,646
mi mtamu balaa..mwanzo mwisho
Smile nakujua sana...wewe sio mtamu!!!bisha nikuthibitishie!!
mi mtamu balaa..mwanzo mwisho
utamu wa mwanamke ye mwenyewe ajijue kuwa ni mtamu
utamu wa mwanamke ajue kujiunga zaidi ya utamu aliojaliwa na muumba
utamu wa mwanamke upate mwanaume anayejua kuwa mwanamke aliyenaye ni mtamu
utamu wa mwanamke upate mwanaume anayejua kula vitamu!
utamu wa mwanamke ye mwenyewe ajijue kuwa ni mtamu
utamu wa mwanamke ajue kujiunga zaidi ya utamu aliojaliwa na muumba
utamu wa mwanamke upate mwanaume anayejua kuwa mwanamke aliyenaye ni mtamu
utamu wa mwanamke upate mwanaume anayejua kula vitamu!
Sasa wengine anakuangalia tuu kama anakutishia umalize haraka!
endeleeni kumwagika, nina counter book nachukua notisi.
Pamoja sana kiongozi Ngabu naunga mkno hojaNi kweli.
Kuanzia ulaini wa ngozi zao, jinsi nyonyo zao zilivyo, usafi wao, ukubwa au udogo wa maumbile yao kule downtown, ukavu au unyevunyevu, utundu na ubunifu, n.k.
Mwanamke mmoja huyo huyo, hubadilika utamu siku hadi siku( ama hupoteza utamu au huongezeka utamu) sembuse wanawake tofauti.
umesahauwanawake nao wako kimakundi kama watajiweka safi na kuvutia ni sawa nikiwalinganisha na
Mchele uliopikwa ukawa wa
kwa hiyo inategemea amekuandaliaje huo mchele kwani unafanana na pia km hata ni Biriani akagoma kukaribisha utapiga kijiko kimoja na kukinai sio kuridhika
- maji
- bokoboko
- uji
- Biriani
- Pilau
- pepeta
Naomba kuuliza hivi ni kweli wanawake wanatofautiana utamu? kivipi? Msinishambulie nijibuni tu.
Ni kweli.
Kuanzia ulaini wa ngozi zao, jinsi nyonyo zao zilivyo, usafi wao, ukubwa au udogo wa maumbile yao kule downtown, ukavu au unyevunyevu, utundu na ubunifu, n.k.
dogo tigo ndio mambo yote, unaweza kulia kwa furaha a.k.a utamu
Hahahaaa.... Nikuulize wewe uliyeonja..!
vanilla lol
unatakiwa ukate miuno kama paka chongo ndio utamu unakuja............naomba kuuliza hivi ni kweli wanawake wanatofautiana utamu? Kivipi? Msinishambulie nijibuni tu.