Kwa wanaume tu njoo tutete

Kwa wanaume tu njoo tutete

Mkuu Daudi1 ahsante kwa mwaliko.

Wavulana wa siku hizi kuna tatizo sehemu. Wamerahisishiwa mambo na teknolojia lakini inashangaza wanashindwa kuitumia ipasavyo.

Najaribu kutafakari enzi zetu tukitongoza kwa kupitia SLP na kama vipi kukatana mitama vichochoroni, hawa vijana si wangeishia kupiga punyeto?

Vijana wanapaswa kutoa uso wa aibu kwa wadada. Mwanamke ukimtokea kijasiri yeye ndo anakuwa na aibu. Na unapoonyesha ujasiri ndo mwanamke anapokukubali zaidi.

Vinginevyo hivi vibinti virembo vitaendelea kuangukia kwenye mikono yetu wakongwe kwa kuwa wavulana wameshindwa kazi.

Acheni kulialia mitandaoni wavulana, mabinti wanawacheka.

Ngoja nikazimue kwanza.
Hahahaaaa asante Babu hata hapa wamewekewa PM mnazungumza huko mnamalizana wenyewe kiutu uzima ya nini kutuwekea namba ya simu huo udomo zege umepitiliza
 
Hili jambo naona Lina 2 sides, moja ni wanaume wasiojiamini au waliojikatia tamaa ktk swala la mahusiano aidha kutokana na kujeruhiwa kimapenzi au mfumo mbaya wa maisha walionao na kufikiri vibaya.

Pili kuna watu ambao mazingira yanayowazumguka au tuseme aina ya shughuli wanazozifanya vinasababisha washidwe kua katika nafasi nzuri ya kukutana na aina ya mwanamke wanayempenda hivyo wanajikuta wanajaribu kutumia mitandao kama nyenzo ya kuwasaidia.

Hayo ni mawazo yangu kuhusiana na mada husika.
Umeongea vema sana mkuu asante kwa mchango wako
 
hahaa sio kwamba wanaume hawawezi kutongoza bwana...tatizo ni kwamba wanawake wamekuwa watu wakujudge mtu kulingana na urefu wa mfuko wake.

with money in ur pocket u r handsome wala huna shida ya kutongoza. ukiwa na gari huna shida ya kutongoza...so thats y wanaume these days hawanashida ya kutongoza.
 
Hilo nalo neno!!! Kuna jamaa alikuwa anatafuta mupenzi mda mrefu kweli hadi juzi kaanzisha siredi nyingine!

Hahaha wakati mie nlishawahi jiunga na kwaya na msauti wangu huu kama wa chura ili nikapatemo kadem flani hivi. Na ukatoliki wangu tena mkatoliki mwandamiźí, nikajikuta naimba na walokole waliobobea. Kudadadeki kidume nikafanikiwa kupata nilichokipata. Hahaha nliporudisha uaminifu wangu kwenye ukatoliki binti akasepa zake. Haikuwa mbaya sana lakini, mama Matesha wangu ningempataje wakati katiba ya dini yangu hairuhusu wake wawili?
 
Bwana Daudi1 pamoja na hayo ni kuwasaidia watoke katika ujinga huo. Wasimame kama wanaume na kuchuakua majumu yao ya kiume kwani kutongoza ni jukumu la mwanaume.

Labda hawajui raha au fahari anayoipata mwanamke pindi anapoona mwanamme akishuka kwenye gari au akitembea kwa mguu kumfuata na kumwambia nakupenda.

Akina Dada watwambie hili, wanajisikiaje wanapotongozwa kwenye mitandao na pale wanapotongozwa live huku wakifanya tathimini ya mtu anayewatongoza.
 
Mi nadhani chamuhimu ni kutimiza azma ya kumpata mtu. umpatie humu, fb, kanisani, msikitini, njiani, kwenye daladala, oficn, vyuoni n,k. chamsingi umshirikishe Mungu tu umpate mwenza anayefaa usije ukapata majangaaaaaaaaaaa!!
 
Haka kautaratibu kameshika kasi kwakweli sijui tatizo linaanzia wapi.Hawa vijana hawana mbinu za manual kama zile za zamani.
 
Haka kautaratibu kameshika kasi kwakweli sijui tatizo linaanzia wapi.Hawa vijana hawana mbinu za manual kama zile za zamani.
Digital imewaharibu inafika hatua mwanamke amenuna unashindwa uanzie wapi kuongea naye,mwisho wa siku unakimbilia kuomba ushauri au kutafuta nyumba ndogo kumbe mwanamke anahitaji tention tu!
 
Mi nadhani chamuhimu ni kutimiza azma ya kumpata mtu. umpatie humu, fb, kanisani, msikitini, njiani, kwenye daladala, oficn, vyuoni n,k. chamsingi umshirikishe Mungu tu umpate mwenza anayefaa usije ukapata majangaaaaaaaaaaa!!
Angekuwa anapatikana mke wa ukweli siyo tatzo lakini wewe mwenyewe ni shahidi yanapatikana majanga ndo maana tunajaribu kufikiri labda njia tunayotumia siyo sahihi
 
Bwana Daudi1 pamoja na hayo ni kuwasaidia watoke katika ujinga huo. Wasimame kama wanaume na kuchuakua majumu yao ya kiume kwani kutongoza ni jukumu la mwanaume.

Labda hawajui raha au fahari anayoipata mwanamke pindi anapoona mwanamme akishuka kwenye gari au akitembea kwa mguu kumfuata na kumwambia nakupenda.

Akina Dada watwambie hili, wanajisikiaje wanapotongozwa kwenye mitandao na pale wanapotongozwa live huku wakifanya tathimini ya mtu anayewatongoza.
Ngoja tuwaalike waje watuambie maana mimi hata sielewe naniii we miss chagga njoo huku umpitie na DEMBA mje ni kwa mwaaliko maalumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom