Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Habari wanajamvi letu pendwa natumaini muwazima wa afya njema kwa ambaye mambo hayako poa pole sana,turudi kwenye maada
-----------
Jamani wanaume wenzangu tuongee kiume,humu ndani kumetokea wimbi la wanaume kutafuta mchumba au mke..huwa najiuliza inakuaje hii inamaana mtaka kusema kutongoza linataka kuwa janga la kitaifa? wanawake hawa wa humu ndani ndo hao tunaopishana nao huko nje sasa unashindwa kumtongoza akiwa huko unategemea akukubalie humu ndani kweli?
Binafsi ninaamini unaweza kupata mke kupitia mtandao maana ndo hawa hawa tunaishi nao nachukulia mtandao kama sehemu ya mawasiliano sasa inakuaje mtu anaacha namba ya simu mwanaume mzima ukitegemea mwanamke atakupigia sijui aanze vipi kujieleza eti "samahani nimeikuta namba yako kwenye mtandao ukihitaji mke mimi niko tayari" mmh jamani hata changudoa hawezi kukupigia atajua huna hela maana ungekuwa na hela ungeenda kwenye ofisi zao upate huduma..
Jamani humu kuna ladies wengi status zao wako single kama umezimika na mmoja wapo kuna PM nenda kule kajieleze,mwanzoni nilijua ni namna ya kulitendea haki jukwaa lakini nikagundua wengine wanakuwa serious maana mtu anaweka bandiko hata mara tatu akihitaj mke,Najiuliza tu ukishindwa kumtongoza mwanamke hivi kweli utaweza kuomba papuchi kwa wale wenye misimamo na ukapewa kweli? Hata mwanamke anajisika raha anapotongozwa na anajiamini zaidi kwamba katika 100 umemfuata yeye anajiona anathamani,kwa mtazamo wangu tunajiabisha wenyewe..
Naomba tubadilike basi,ukienda love connect mwanamke akitangaza kuhitaji mchumba hata wakumpa moyo na kumfariji wanakuwa wengi kuliko kwa mwanaume jiulize ni kwa nini mpaka kuna memba mmoja akalalamika eti Wanawake mtufanyie fair,fair gani wakati mnaacha namba tu ambazo hata wanawke hawaweki hizo namba
Samahani nimeongea kwa kirefu mniwie radhi tu,Baba paroko Eiyer,Babu Asprin,njooni mje mtoe msaada huku
-----------
Jamani wanaume wenzangu tuongee kiume,humu ndani kumetokea wimbi la wanaume kutafuta mchumba au mke..huwa najiuliza inakuaje hii inamaana mtaka kusema kutongoza linataka kuwa janga la kitaifa? wanawake hawa wa humu ndani ndo hao tunaopishana nao huko nje sasa unashindwa kumtongoza akiwa huko unategemea akukubalie humu ndani kweli?
Binafsi ninaamini unaweza kupata mke kupitia mtandao maana ndo hawa hawa tunaishi nao nachukulia mtandao kama sehemu ya mawasiliano sasa inakuaje mtu anaacha namba ya simu mwanaume mzima ukitegemea mwanamke atakupigia sijui aanze vipi kujieleza eti "samahani nimeikuta namba yako kwenye mtandao ukihitaji mke mimi niko tayari" mmh jamani hata changudoa hawezi kukupigia atajua huna hela maana ungekuwa na hela ungeenda kwenye ofisi zao upate huduma..
Jamani humu kuna ladies wengi status zao wako single kama umezimika na mmoja wapo kuna PM nenda kule kajieleze,mwanzoni nilijua ni namna ya kulitendea haki jukwaa lakini nikagundua wengine wanakuwa serious maana mtu anaweka bandiko hata mara tatu akihitaj mke,Najiuliza tu ukishindwa kumtongoza mwanamke hivi kweli utaweza kuomba papuchi kwa wale wenye misimamo na ukapewa kweli? Hata mwanamke anajisika raha anapotongozwa na anajiamini zaidi kwamba katika 100 umemfuata yeye anajiona anathamani,kwa mtazamo wangu tunajiabisha wenyewe..
Naomba tubadilike basi,ukienda love connect mwanamke akitangaza kuhitaji mchumba hata wakumpa moyo na kumfariji wanakuwa wengi kuliko kwa mwanaume jiulize ni kwa nini mpaka kuna memba mmoja akalalamika eti Wanawake mtufanyie fair,fair gani wakati mnaacha namba tu ambazo hata wanawke hawaweki hizo namba
Samahani nimeongea kwa kirefu mniwie radhi tu,Baba paroko Eiyer,Babu Asprin,njooni mje mtoe msaada huku