Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,444
Aya nitakuja kuonasio kweli nakupa mfano hai naenda kuripa chaji za bandari labda ni laki 9 bank yao iko ndani bandarini unataka ni bebeje?kwenye bag,nchi yetu bado aiko kwenye mfumo mzuri wa malipo kwa njia za kisasa watu bado wanatembea mpaka na m5 njoo kwenye kazi zetu uone