Oya wakuu mnaosoma udsm,naomba kuuliza,ikiwa mtu umechaguliwa ud,ile admission letter utatumiwa kwa njia ya posta au utaikuta chuo,na vipi kuhusu hostel,utajuaje kama umepangwa main cumpus au mabibo hostels.natanguliza shukrani.
mkuu,yani unamaanisha nije huko dar au?
Oya wakuu mnaosoma udsm,naomba kuuliza,ikiwa mtu umechaguliwa ud,ile admission letter utatumiwa kwa njia ya posta au utaikuta chuo,na vipi kuhusu hostel,utajuaje kama umepangwa main cumpus au mabibo hostels.natanguliza shukrani.
hongera kwa kuchaguliwa udsm na karib sana,form utaikuta chuo na kujua umepangiwa wap kati ya cumpus au mabibo utapata kupitia mbao za matangazo chuon au acaunt yako maruf km aris.usijal sana haya yote utayajua wakati wa orientation wek inyoanza trh 17 mwz wa 9
Oya wakuu mnaosoma udsm,naomba kuuliza,ikiwa mtu umechaguliwa ud,ile admission letter utatumiwa kwa njia ya posta au utaikuta chuo,na vipi kuhusu hostel,utajuaje kama umepangwa main cumpus au mabibo hostels.natanguliza shukrani.
Oya wakuu mnaosoma udsm,naomba kuuliza,ikiwa mtu umechaguliwa ud,ile admission letter utatumiwa kwa njia ya posta au utaikuta chuo,na vipi kuhusu hostel,utajuaje kama umepangwa main cumpus au mabibo hostels.natanguliza shukrani.