Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Mkuu nakuibia siri anapenda makuu kuliko makuu yenyewe siyo mtu cheap cheap so Sera zako na ahadi ziwe za ukweli mfano ndoa kufungiwa kwenye Sayari ya Mars yaani etc siyo maua na chips kuku atakwambia maua mpelekee nyuki...

Ntashangaa sana kama Yamakagashi unasikiliza kila cha kufanya unasubiri kuambiwa ndo ufanye...... anyways all the best.

Wacha nipumzike masaa kadhaa baadae nna kikao na presentation mahali flani.
 
Yes my pretty Lady or should i call you Darling ?

Ofcoz i ve noticed some common things about us
I would ve been dumb not to figure that out

Im trying to corner you ila una ni outsmart

Though hapo kwa why men are stupid nimekukamata

Ungeniambia tu you are stupid cause you know im with someone halafu bado una ni approach

About the trip we can hold hands in the sands in Nairobi then we set sails on our way to Miami
 
Mkuu nakuibia siri anapenda makuu kuliko makuu yenyewe siyo mtu cheap cheap so Sera zako na ahadi ziwe za ukweli mfano ndoa kufungiwa kwenye Sayari ya Mars yaani etc siyo maua na chips kuku atakwambia maua mpelekee nyuki...
Nilishamuuliza kuhusu hilo na Kassie alishanipa jibu zamani labda hujafuatilia tu convo vizuri ,kuna sehemu nilimuuliza kama babu ana mtreat vizuri apart from money and other staff


Wacha kumuwekea maneno Kassie

Hahahaha
 
Ntashangaa sana kama Yamakagashi unasikiliza kila cha kufanya unasubiri kuambiwa ndo ufanye...... anyways all the best.

Wacha nipumzike masaa kadhaa baadae nna kikao na presentation mahali flani.
Nyts Swetie ,dont let the bed bugs bite [emoji36]
 
Ntashangaa sana kama Yamakagashi unasikiliza kila cha kufanya unasubiri kuambiwa ndo ufanye...... anyways all the best.

Wacha nipumzike masaa kadhaa baadae nna kikao na presentation mahali flani.
Oooh no paper imeleak duh
Ila usijali pamoja na yote
Zawadi ya Ushindi umeikaribia vita ya Kagera imekwisha cha msingi nikuomba usipate accident safarini kurudi Dodoma toka Mtukura.
All the best...
 
Oooh no paper imeleak duh
Ila usijali pamoja na yote
Zawadi ya Ushindi umeikaribia vita ya Kagera imekwisha cha msingi nikuomba usipate accident safarini kurudi Dodoma toka Mtukura.
All the best...
Hahaha wewe jamaa lazima usimamie ndoa yetu ,hii vita tumepigana pamoja

Ila bado sana Kassie anaweza kuamka kesho kwa anayopewa na babu usiku wa leo akaishia kuniona kama mkia wa mbuzi ,upo tu lakini sijui una kazi gani

Finger crossed tuombe uzima
 
Ama kwel we mnyamwez, hata avatar yako ni ya kinyamwez zaidi.
 
Huu wimbo asili yake,ni kwamba wakati mfalme anataka kutoka ndani ili aje nje kubarizi au kuongea na watu ndiyo anaimbiwa,ni kumkaribisha mfalme tu na kumpa heshima yake
 
Hhahahahahahaaaa babuuuuu you know what..... Kasie go East and turn back to West but to you Babu Big Sam is the Best!!!
I laaabbbb yuuuuuu Babu Big Saaaamm mmmmmmmuuuuaaaahhhhh!!!!!

Let our biology parts greets and shakes-Speer heheheheheee
Wakati ukiwa East unageuka kuelekea west, mimi babu ODM... yaani mimi mwenyewe Big Sam orijinale... ntakuwa natokea north kuelekea south kwa bodaboda... tafakari kitakachotokea hapo katikati kwenye junction. Unajua ajali nyingine hazihitaji trafiki kupima... kwa maana miezi tisa itakayofuata maternity ward itadhihirisha chanzo cha ajali.

Baada ya kusema hayo naomba kuweka msisitizo na kutoa ufafanuzi hapo kwenye red... kwamba lolote litakalomtokea huyu dogo Yamakagashi ... mi ntakuwa nahusika. Maana namsoma huku roho inaniuma... namsoma tu anavyokusarandia afu na wewe unamchekeachekea tu.

Mara ya mwisho kufanya mambo yangu ni siku nilipombadilisha mtu jinsia... then jinsia hiyo nikaiweka usoni. Imajin, kabla ya kumbadili mtu huyo alikuwa mwanaume... unaweza kuimagine ni kitu gani kilihamia usoni mwake... amin amin nakuambia afadhali mbuzi ya kwake samtaimz anaiziba na kufukuza nzi kwa mkia...

Nimemaliza.
 


Napenda tu kuwataarifu, sijabarikiwa na haya makitu yenu.

Naenda mlimani kukesha na kusali
 
Kasie ulevi wake mdogo tuu, muimbie nyimbo nyimbo nyingi nyingi tuu, mojawapo ikimkuna basi umempata.
Hii kauli sijaipenda... hasa ukizingatia nilikosa nafasi ya kufanya kolabo na Diamond kwenye kale kaSalome... Diamond ana roho mbaya, eti alinambia sauti yangu labda nimtafute Man Fongo niimbe singeli ya hakunaga ushemeji remix...
 
Napenda tu kuwataarifu, sijabarikiwa na haya makitu yenu.

Naenda mlimani kukesha na kusali
Nisamehe mzee si unajua tena mjomba kaja sema ujue nini lile gari linaenda na bado mbuzi hawajala mwambie mwalimu watoto wakitoka shule waache wale mafundi waje na radio na kesho pilot anaruka basi kijijini shida umeme yaani duka la mangi anauza spea za trekta na utumbo wa mbuzi
 
Umesamehewa sheikh... nimekusamehe kwa kuwa wewe ni UKAWA mwenzangu kutokea kanisa katoliki jimbo la Sudani ya Kusini.
 
Umesamehewa sheikh... nimekusamehe kwa kuwa wewe ni UKAWA mwenzangu kutokea kanisa katoliki jimbo la Sudani ya Kusini.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] dah aisee wewe mzee kijana ni kiboko nashukuru sana kwa msamaha kwa sababu ya interests tulizonazo
 
Wafuma mwikulu - Umetoka Ikulu.
Wangaluka mwana wa Ntemi - Umeamkaje mtoto wa Mtawala.
Siyo Walolo mayo ni Aluyu mayo inamaanisha huyu hapa mama(mwanamke),
Watolwa mwana wa Ntemi - Ameolewa mtoto wa Mtawala.
Wabhezya mnyanda wa kumwa Ntemi Mirambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…