ndugu zangu,mm nimuhitimu wa chuo kikuu mwaka hu nimepata kijikazi napata km lak4 hivi kwa mwezi,nataka kuongeza kipato kwa biashara ya chips,mishikaki na ugali nyama choma hapa arusha.naomba mnishauri yafuatayo#
1.eneo lenye mkusanyiko biashara itakapofaa
2.mtaji kiasi gani coz nataka iwe sehemu inayovutia
3.taratibu za kufuata km tra,leseni km vinahitajika
4.usimamizi coz muda mwingi nko kazini
5.lolote lakunshauri kuhusu hiii biashara Kwa Arusha
#natanguliza shukurani
1.eneo lenye mkusanyiko biashara itakapofaa
2.mtaji kiasi gani coz nataka iwe sehemu inayovutia
3.taratibu za kufuata km tra,leseni km vinahitajika
4.usimamizi coz muda mwingi nko kazini
5.lolote lakunshauri kuhusu hiii biashara Kwa Arusha
#natanguliza shukurani