NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Najua huu ni ukweli unaouma kwao lakini huo ndio ukweli wenyewe.Aheri HR officers wa serikalini au mashirika ya umma ya Kitanzania wabongo wenzetu.Nawapa Kongole sana ila hawa wengineo mhhh
Lakini kwa haya makampuni ya kigeni ya wazungu maofisa hawa kwanza wanajali matumbo yao halafu kumtetea mwekezaji ili azidi kukubana wewe na kukunyonya kwa kulipwa ujira mdogo yeye mwekezaji apate faida kubwa.
Wengine wanakwenda mbali zaidi wanamshawishi mwekezaji asikulipe mshahara mkubwa sababu mtalewea pombe.
Mara nyingi wawekezaji wakija nchini wanakuja na scale nzuri ila hawa jamaa ndio wanaozishusha SHAME ON YOU PEOPLE and your profession.
Lakini kwa haya makampuni ya kigeni ya wazungu maofisa hawa kwanza wanajali matumbo yao halafu kumtetea mwekezaji ili azidi kukubana wewe na kukunyonya kwa kulipwa ujira mdogo yeye mwekezaji apate faida kubwa.
Wengine wanakwenda mbali zaidi wanamshawishi mwekezaji asikulipe mshahara mkubwa sababu mtalewea pombe.
Mara nyingi wawekezaji wakija nchini wanakuja na scale nzuri ila hawa jamaa ndio wanaozishusha SHAME ON YOU PEOPLE and your profession.