Kwa wanandoa!!

Hahaha mbu wachawi wa zamani wangeona haya kumtoa kikoa 'mtoto ulokabidhisha Ila wachawi wa sasa wanaona ndo wamerahisishiwa njia. Sikushauri kufanya hivyo hata kidogo

...Gaijin, heri ya nusu shari kuliko shari kamili. Mume utasaidiwa tu. Mfano; kama bajeti haitoshi Mpe pesa mkeo uone kama kapu halitarudi limejaa.
Heri lifti ya lifti niijuayo, hata akiiba ataibia kiuoga uoga.

Kwanza, mimi ningemwambia mke wangu sitaki kusikia tena habari za huyo jamaa - mkarimu n.k. je, kabla ya lifti alimkirimia nini? Lunch? Pili, kama mke wangu atataka hiyo lifti basi ahamie kwa huyo jamaa mpaka mwisho wa maisha yake duniani ili aweze kufaidi hiyo lifti vizuri.


...dah, una wivu sana wewe. Unaweza pata magonjwa ya BP na kisukari siku si zako.

tatu, nikigundua wanapeana lifti bila mimi kujua nitamchukua mke wangu na kujifanya kumtembelea huyo jamaa nyumbani kwake na kumwacha huko mke wangu - yaani kumkabidhi kwa huyo bwana. Nne, wanawake wengi upenda magari aidha kumiliki au lifti.

...dah! unakwenda kuhalalisha kabisaaaa? hehehehe... busara na UAMINIFU vimepotelea wapi jamani, humuamini mkeo hata kidogo?

Na mwisho, ni wote wawili ni kuka chini na kutafuta la kwenu kama si ya kwenu; maanake kama anatamani gari, lazima atatamani na vingine!!! Mwisho kabisa wake wanatakiwa kuangaliwa na kuelekezwa na waume zao kama mzazi anavyomwelekeza mwanaye!!!!!!!

...hii ndio busara bana, sio kumtelekeza kwakua kapewa lifti. Usafiri wa daladala mjini shida mzee! :coffee:
 
WOS,
Hapo mi naona mambo mawili ya msingi , moja ni kwamba jamaa hana gari, na hiyo inamfanya analoose confidence kwenye ndoa yake, Pili huyo mwanamama na jamaa mwenye gari wanafanya kazi pamoja, kwahiyo hiyo inamfanya jamaa ashuku kuwa jamaa mwenye gari anaweza kumuiba mkewe na kwenda naye kokote.

Renegade, kama hana gari na mtu kajitolea kupunguza stress za usafiri kwa mkewe iweje asijiamini?
BTW, signature yako
If you cannot find peace within yourself, you will never find it anywhere else.
inasaidia jibu hili.
 
we na mkeo mmeanza maisha na wote, mwafanya kazi sehemu tofauti na huwa mnaondoka alfajiri kwenda mihangaikoni na mnatumia daladala. Kila siku kuna jama anapita na gari lake na mkeo anakuambia anamfaham na anafanya shughuli zake jirani anapofanya kazi na anamsifia alivyo mkarimu. Siku moja mpo kituoni asubuhi anapita huyo jamaa na gari lake nae anajitolea kumpa lifti mkeo...
Kama mumewe utafanyaje?



ushasema kampa lift sasa afanyeje je angemkuta kakumbatiwa si angekufa kihoro
 
I am sure kuna wanaume ambao wanaweza kutoa misaada kama hiyo kwa wake za watu bila kuwa na any sinister motives...; na pia kuna wake za watu ambao wanaweza kusima imara and they can just as well brush you off wakiona unataka kuleta ajenda za kipuuzi bila kujali msaada wako...

Kumchunga sana mtu haisaidii kwa sababu kama ni kumegwa anaweza kumegwa wakati wowote na mahali popote...
 
Mwanamke sidhani kama ataona tabu... labda umchimbe biti... Ila kwetu walume... utakuwa na amani?! akipewa lift siku kama 3 mfululizo..?!

Binafsi... nina hulka ya kiume.. pure manly ego... nitampa kauli ya upole kabisa, yenye maneno ambayo akiyatafakari mwenyewe ataghairi kama anaitaka ndoa!! mke habari ingine kabisa... kama ni wivu hata muumba anao!!:mad:
 
Renegade, kama hana gari na mtu kajitolea kupunguza stress za usafiri kwa mkewe iweje asijiamini?
BTW, signature yako
inasaidia jibu hili.
Tatizo nikwamba hiyo PEACE jamaa amekosa ndo maana tunamshauri hapa, Angekuwa na PEACE wala asingesumbuka kuuliza.
 
Jamani wababa sometimes tuwe reasonable: kupewa lift na ku-cheat ni vitu viwili tofauti. kama mimi na mume wangu hatuna magari, na adha ya usafiri (hapo dar) na hatufanyi kazi uelekeo mmoja, kuna shida gani nikipewa lifti na mtu tunayefanya naye pamoja? mtu kama una nia ya ku-cheat utacheat tu, whether unapewa lift au la. Mjiamini jamani kaka zetu!
 
Kule somalia huwa wanaweka kufuli; lakini as long as shimo lake anatembea nalo na wewe bakora yako utatembea nayo, kinachobakia ni uaminifu wa mtu tu. Kwa kweli pamoja na uaminifu, wanawake huwa wepesi sana kushawishika, hivyo ni vizuri kumwambia mkeo ajiepishe na vishawishi. La pili, wanaume huwa tupo waoga katika masuala haya kuliko wanawake; mke ukimchimba mkwara mzito utadhani umemfungulia, hata kwa mabinti - ukijua binti yako anafanya uzinifu ukamchapa ujue ndo kama umeozesha kabisa; utalala mlango wazi. Lakini wanaume kwa woga tulionao!! mchimbe mkwara huyo dume!!.
 
We na mkeo mmeanza maisha na wote, mwafanya kazi sehemu tofauti na huwa mnaondoka alfajiri kwenda mihangaikoni na mnatumia daladala. Kila siku kuna jama anapita na gari lake na mkeo anakuambia anamfaham na anafanya shughuli zake jirani anapofanya kazi na anamsifia alivyo mkarimu. Siku moja mpo kituoni asubuhi anapita huyo jamaa na gari lake nae anajitolea kumpa lifti mkeo...
Kama mumewe utafanyaje?





Mimi binafsi naona hilo halina tatizo lolote. Kukosa uaminifu ni tabia ya mtu na wala si kwa sababu ya lifti..... Uaminifu ni kitu kizuri sana kwenye ndoa, na wala huna sababu ya kumchunga sana mume,mke wako.
Kwa umri alionao akiamua kukusaliti anaweza kutumia njia yoyote ile......

WITO KWA WANANDOA WOTE: TUAMINIANE ILI TUISHI VYEMA NA AMANI TELE
 
Na kwanini asiitose hiyo lifti na kukubali kusota na mwenza wake hadi pale jitihada zao zitakapobarikiwa..?!! wakati mwingine vitu vidogo kama kukubali lifti hufungua milango kwa mwezio kuwaza mambo mapana zaidi ya hata kumegewa mali zake!!!
 
Kule somalia huwa wanaweka kufuli; lakini as long as shimo lake anatembea nalo na wewe bakora yako utatembea nayo, kinachobakia ni uaminifu wa mtu tu. Kwa kweli pamoja na uaminifu, wanawake huwa wepesi sana kushawishika, hivyo ni vizuri kumwambia mkeo ajiepishe na vishawishi. La pili, wanaume huwa tupo waoga katika masuala haya kuliko wanawake; mke ukimchimba mkwara mzito utadhani umemfungulia, hata kwa mabinti - ukijua binti yako anafanya uzinifu ukamchapa ujue ndo kama umeozesha kabisa; utalala mlango wazi. Lakini wanaume kwa woga tulionao!! mchimbe mkwara huyo dume!!.

:shock: :shock: :shock:
 
Back
Top Bottom