under the same sun
Senior Member
- Jan 15, 2014
- 160
- 37
Salam wana jf na baada ya salamu naomba kujua kuna umuhimu wa kuliombea tendo la ndoa kabla ya kufanya? kama ilivyo mambo mengine tunavyoyaombea?
Salam wana jf na baada ya salamu naomba kujua kuna umuhimu wa kuliombea tendo la ndoa kabla ya kufanya? kama ilivyo mambo mengine tunavyoyaombea?
Salam wana jf na baada ya salamu naomba kujua kuna umuhimu wa kuliombea tendo la ndoa kabla ya kufanya? kama ilivyo mambo mengine tunavyoyaombea?
nikiolewa nitafanya hivyo... nadhani ni muhimu sana... ila sijui ukiwa katika ile hali unaweza kumbuka kuomba hasa kwa upande wa wanaume
nikiolewa nitafanya hivyo... nadhani ni muhimu sana... ila sijui ukiwa katika ile hali unaweza kumbuka kuomba hasa kwa upande wa wanaume
nikiolewa nitafanya hivyo... nadhani ni muhimu sana... ila sijui ukiwa katika ile hali unaweza kumbuka kuomba hasa kwa upande wa wanaume
Kwanza hainiingii akilini kuanza kuomba wakati tayari kitu kiko taiti; labda niombe kimoyomoyo wakati namwandaa mama watoto wangu.
Pili siamini kama kwa vijana huwa wanafanya tendo hilo kwa ajili ya kupata watoto; labda kwa wale ambao wamechelewa kubarikiwa kupata matunda ya ndoa.
Mdogo wangu miss chagga - hiyo haipo hata ukiolewa - utaendelea na mwendo uliouzoea
Salam wana jf na baada ya salamu naomba kujua kuna umuhimu wa kuliombea tendo la ndoa kabla ya kufanya? kama ilivyo mambo mengine tunavyoyaombea?
Salam wana jf na baada ya salamu naomba kujua kuna umuhimu wa kuliombea tendo la ndoa kabla ya kufanya? kama ilivyo mambo mengine tunavyoyaombea?
Yes ni busara kufanya hivyo kwa wanandoa.
Ifanyie majaribio tafadhali!
yah ni vizur kulibariki kwanza, especially mkiwa katika mpango wa kupata mtoto
Sala yeyote huwa na kusudi. Kama una kusudi halali omba kadiri utakavyoweza. lakini kumbuka maandiko husema Mungu hapendezwi na wapumbavu.
nikiolewa nitafanya hivyo... nadhani ni muhimu sana... ila sijui ukiwa katika ile hali unaweza kumbuka kuomba hasa kwa upande wa wanaume