kwa wanandoa!

kwa wanandoa!

how-to-pray-for-sexual-intimacy-in-marriage.png
bedroom_1473255c.jpg

ha ha ha ha ha ha ha ha ha Tyta u always make me happy
 
Who does that?

Of course,Wise men do, religious people equally do and that's what should be done i.e We are supposed to be doing this regardless of our faith orientation.
Hata unachojua kuwa ni haram ukila huwa unanawa na kuomba kabla ya kula, Uongo?
Itakuwa tendo hilo linaloitwa takatifu?
ANGALIZO🙁Tendo takatifu ni kwa mwenza wa halali lakini)
Sio ufanye ukware wako huko na kuomba ukitegemea hutaadhibiwa siku ya hesabu.
 
Of course,Wise men do, religious people equally do and that's what should be done i.e We are supposed to be doing this regardless of our faith orientation.
Hata unachojua kuwa ni haram ukila huwa unanawa na kuomba kabla ya kula, Uongo?
Itakuwa tendo hilo linaloitwa takatifu?
ANGALIZO🙁Tendo takatifu ni kwa mwenza wa halali lakini)
Sio ufanye ukware wako huko na kuomba ukitegemea hutaadhibiwa siku ya hesabu.

So what does the prayer before sex say? Der god...then what? Please help beat it up like nobody's business...?
 
article-1210519-064121C5000005DC-459_468x371.jpg


Jamaa anasubiri sala iishe upesi aanze purukushani hahahaaaaa sipati picha maombi yake yanakuwaje
 
Salam wana jf na baada ya salamu naomba kujua kuna umuhimu wa kuliombea tendo la ndoa kabla ya kufanya? kama ilivyo mambo mengine tunavyoyaombea?

Tendo la ajabu sana hili yaani ukimfanyia mtu bila ridhaa yake ni dhambi (jela miaka 30), kwa wapenzi ni dhambi (wao wanakoleza mapenz yao) na kwa kufunga ndoa ( zawadi na Baraka zote utapata , hawa kweli inabd wasali kabla ya tendo).
 
Salam wana jf na baada ya salamu naomba kujua kuna umuhimu wa kuliombea tendo la ndoa kabla ya kufanya? kama ilivyo mambo mengine tunavyoyaombea?
YEEES! Tendo la ndoa ni zawadi(consummation of the marital blessings. Symbol of the love God gave us )-Lazima kwanza ushukuru. Ni muhimu tena vitu vya kuombea ni;
  • Mwanaume apewe nguvu ya kwenda mwendo mrefu
  • Nyote mfikie ridhiko bila vinyongo
  • Mkionja hilo tendo msitamani kwengine
  • Kuwe na ushirikiano wa kutosha toka pande zote
  • Kama mna tarajia mtoto awe mwenye afya na kama hamtarajii basi asije
  • Kusiwe na heart attack pindi mnapofika kwa sababu likibarikiwa mfiko wake duh
Tatizo watu wakishazoea uzinzi na uasherati wanaona hilo tendo kama dhambi. Wakati ni tendo takatifu na ni muhimu sana sana kuombewa.
 
wabongo bana, kwahiyo mnataka upako ushuke deep down kwenye papuchi???
 
wabongo bana, kwahiyo mnataka upako ushuke deep down kwenye papuchi Mh hii kali mnapata fursa ya kuomba kabisa?? mind+dushelele+papuchi+maombi=kazi kweli kweli
 
YEEES! Tendo la ndoa ni zawadi(consummation of the marital blessings. Symbol of the love God gave us )-Lazima kwanza ushukuru. Ni muhimu tena vitu vya kuombea ni;
  • Mwanaume apewe nguvu ya kwenda mwendo mrefu
  • Nyote mfikie ridhiko bila vinyongo
  • Mkionja hilo tendo msitamani kwengine
  • Kuwe na ushirikiano wa kutosha toka pande zote
  • Kama mna tarajia mtoto awe mwenye afya na kama hamtarajii basi asije
  • Kusiwe na heart attack pindi mnapofika kwa sababu likibarikiwa mfiko wake duh
Tatizo watu wakishazoea uzinzi na uasherati wanaona hilo tendo kama dhambi. Wakati ni tendo takatifu na ni muhimu sana sana kuombewa.
Cc: Nyani ngabu
Guess, this guy said it all.
 
Back
Top Bottom