Kwa Wanandoa Wote...With Love and Care

Kwa Wanandoa Wote...With Love and Care

Cathode Rays

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
1,738
Reaction score
1,495
Huu ni ujumbe wangu wa furaha na Upendo kwa Wanachama wote wa TAMU (Tanzania Married Union) - JF Wing

Karibuni sana tupate ujumbe huu kutoka kwa Ambwene Mwasongwe...kuna ujumbe mzuri kwa wote

Furahieni kipindi cha ndoa maana ni kifupi na huwezi jua lini waweza pumzika..


Kwa wale wanachama wa TABU (Tanzania Bachelors Union) - JF Wing karibuni Chamani wakati sahihi ukifika


CC: Mpwa Elli, walimu wangu snowhite, Pdidy, (sijalisahau lile apple wakati uleeee) Mbimbinho, Mtambuzi
 

Attachments

Duh hii imekaaa tenge sana, ngoja nisali kabisa na nimuombe radhi mke wangu maadamu nimemkosea mahali but sio kum-cheat
 
Duh hii imekaaa tenge sana, ngoja nisali kabisa na nimuombe radhi mke wangu maadamu nimemkosea mahali but sio kum-cheat

Hhaaaaa, vipi tena Elli mpwa??? Bila shaka uko salama

Nenda haraka bana maana nakumbuka ile shule wakati naelekea kuoa
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wenye dhiki, tabu na kiu ya kuwa bachela kama mnaojiita eti mko kwenye ndoa!!! Nawapa pole sana, Mungu awafungue macho muone maluweluwe mnayofanya!
 
Kuna watu wenye dhiki, tabu na kiu ya kuwa bachela kama mnaojiita eti mko kwenye ndoa!!! Nawapa pole sana, Mungu awafungue macho muone maluweluwe mnayofanya!

Hhaaaaaa, Caroline Danzi mzima mama??

Bila shaka wewe sio mfuasi wa samaki mmoja akioza....

Kama bado kuolewa nakukaribisha na kukutakia ndoa njema, na kama uko chama TAMU lakini kuna uchungu wote, my prayer is for God to touch your marriage

Sikiliza ujumbe huo mama utakusaidia sanaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaa Mpwa wangu wala usijali tuko pamoja ila kukosea kupo tu kikubwa ni kuchukua hatua mapema kutubu na kuendelea na maisha
Hhaaaaa, vipi tena Elli mpwa??? Bila shaka uko salama

Nenda haraka bana maana nakumbuka ile shule wakati naelekea kuoa
 
TAMU kuna raha yake bana...........watu sijui hawajui, au waoga!! mi imenisaidia sana kwa vitu vingi...especially kuacha uzinzi.....manake kile kiapo kigumu...mh, afu nilikila mbele ya kanisa na mbele ya Mungu..kila nikikumbuka, nanywea
 
Back
Top Bottom