Kwa wanandoa ishakukuta na ulitatuaje?

Kwa wanandoa ishakukuta na ulitatuaje?

Unamke mwenye tabia za uongo, kutoa mambo ya ndani kuyapeleka kwao ,chako chake ,na chake chake, bila kujari mnafamilia, kama imekukuta kama hili ulilitatuaje? Chukulia umejaribu kumuelimisha lakini haelimiki,
Suala la msingi hapa ni.......
1.Ulimchukua
au
2.Ulipewa?🙂
 
Huyo tayari ana malezi mabovu kwa wazazi wastaarabu hawapendi hizo tabia,ila kama mambo mengine poa basi we chuna na yeye ndio tabia yake,Hakuna mwanamke mkamilifu asikwambie mtu unaweza ukaoa dunia yote na usimpate unayetaka wewe ila kuna tabia ambazo zinaathari kubwa na zingine kawaida,angalia za muhimu
Hata wanaume hakuna mkamilifu kila mtu anamapungufu yake. Kuna baadhi ya wanawake wako vzr mno ktk ndoa zao na waume zao wanamatatizo.
 
Unasikia kaka inatakiwa huyo mwanaume kwanza ajiulize wenzake wanaoshirikiana na wake zako kwa kila jambo wametumia njia gani ikiwezekana naye aitumie. Sidhani kama kuna kinachoshindikana.

Asiwe mwepesi wa kuja huku kulalamika wakati kuna wanawake kibao wanashirikiana na wanaume zao kwa moyo mmoja.
Kunywa mtindi kwa Mangi mrembo
 
Hata wanaume hakuna mkamilifu kila mtu anamapungufu yake. Kuna baadhi ya wanawake wako vzr mno ktk ndoa zao na waume zao wanamatatizo.
Ahsante kwa kubadilishana knowledge maana wewe unawajua wanaume na mimi nawajua wanawake kwa kua nimeoa nawe umeolewa
 
huu uzi angeuleta mwanamke stori ingekua tofauti... hakuna mwanaume angemshauri talaka wala kutafuta mwanaume mwingine ila wangesema " hayo maisha ya ndani mbona unaleta mtandaoni... mwanamke unatakiwa kuvumilia" chaaaa!!
Toa ushauri, acha siasa
 
kweli kaka unaweza kuoa Madudu ndani ya nyumba we acha tu
Mi ni dada mkuu ni kweli ttz wanawake tunajua sana kuigiza kabla ya ndoa. Tunakua hatuna mapenzi asilimia kubwa tunaangalia uwezo wa yule mtu na mali alizonazo.. Ukimpebdea mtu kitu huwezi kudumu hata siku moja mpebde yeye km yeye.. Huwa sielewi roho mbaya inatoka wapi km mme anakutunza anakuheshimu anafanya kila kitu kwa ajili ya familia kwann uwe na roho mbaya mme akisaidia nduguze.
 
Vumilia maana sababu zote ulizotoa hazikidhi vigezo vya kuachana. Pili kuchepuka ni strategy ya mtu aliyefeli.
Mweleze ukweli Bila kukoma mwonyeshe upendo wa Hali ya juu Bila kujali yote hayo na usikubali kubadili mipango yako kumfurahisha mtu kama huyo.
 
Unakaa na mtu kwenye mahusiano takribani miaka 5 mkijidai eti mnasomana tabia, kesho mkishaoana mnaanza kutafuta washauri mara mke wangu yupo hivi mara vile ina maana miaka yote hiyo ya kabla ya ndoa ulikuwa hujui una date na mtu wa aina gani?
Kuna wengine waanzagi na mahusiano wanachaguliwa na wazazi
 
Mi ni dada mkuu ni kweli ttz wanawake tunajua sana kuigiza kabla ya ndoa. Tunakua hatuna mapenzi asilimia kubwa tunaangalia uwezo wa yule mtu na mali alizonazo.. Ukimpebdea mtu kitu huwezi kudumu hata siku moja mpebde yeye km yeye.. Huwa sielewi roho mbaya inatoka wapi km mme anakutunza anakuheshimu anafanya kila kitu kwa ajili ya familia kwann uwe na roho mbaya mme akisaidia nduguze.
HUWAAGA NAJIULIZA WANAWAKE ROHO MBAYA WANATOA WAPI MAANA ADI SIO VIZUR ADI KWA MKWE WAKE? NA APO ANATIMIZIWA KILA KITU
 
La msingi kwanza kama mke wako si muelewa usimuweke wazi vyanzo vyako vyote vya mapato. Ajue vichache tu. Binadamu tunatofautiana maana wakati we unawaza mambo makubwa yeye anajiona mmefika. Tatizo linaanzia hapo. Mfiche baadhi ya pesa zako lakini si kea nia mbaya.

Pili, jaribu kuangalia matumizi ya nyumbani. Jaribu kiwa mchumi nyumbani. Siku moja moja ma wewe unasema leo sina hela. Hii itasaidia yeye kuwa na mawazo ya kupeleka nje wakati nyumbani hamana kitu. Ila kama kila analosema we unatoa pesa basi usitegemee zake zitatumika hapo nyumbani.

Wanawake wengi ni wabinafsi mpaka unaweza kujiuliza kama umeoa au mkeo ni mchepuko. Ila wao wepesi kutaka kujua una shillingi ngapi pamoja na kwamba unaweza usifuatilir kipato chake.

Kwahiyo bro jaribu kuwa makini kwa kiasi cha kipato chako kwa mkeo Anza kuwa makini na expenditures za hapo nyumbani. Avoid unnecessary expenditures na yeye atambue hilo. Ikiwezekana siku moja moja unamkatalia ombi lake la pesa. Ukikubali kila siku unaendeleza tabia yake maana anajua akihitaji pesa muda wote utampa na ndo maana zake anatumia ovyo. Human beings have unlimited needs zinazohitaji pesam kwahiyo kuwa selective katika kutoa pesa.
 
Mjomba Fanya maamuzi magumu ukiwa kama kiongozi wa nyumba asikupande kichwani
 
Back
Top Bottom