Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Kumbuka hata mjinga anaweza kuelimishwa na akaelimika.
Kishaelimishwa lkn haelewi
Kumbuka hata mjinga anaweza kuelimishwa na akaelimika.
dada mapungufu hayo yamezid kwa kwel huyo ni zaid ya binadamu wa kawaida kama uchoyo umepitilizaMmmhhh! Hamna hata huruma. Kumbukeni hakuna aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake.
hivi trend ya wanaume wenye choyo na wanawake wenye choyo ipi kubwa? sie mje hapa na story za kusema amechepuka ana watoto nje hayo ndio mambo yetuKumbe na wewe umeliona hilo. Wanajifanyaga malaika sa sijui malaika wa wapi?
Huyo mwenzenu naye hajataka kueleweka sio bure.Kishaelimishwa lkn haelewi
Huyo mwenzenu naye hajataka kueleweka sio bure.
Unasikia kaka inatakiwa huyo mwanaume kwanza ajiulize wenzake wanaoshirikiana na wake zako kwa kila jambo wametumia njia gani ikiwezekana naye aitumie. Sidhani kama kuna kinachoshindikana.dada mapungufu hayo yamezid kwa kwel huyo ni zaid ya binadamu wa kawaida kama uchoyo umepitiliza
Tunaweza tukawa sawa ila kwa kuwa mama ndio muwajibikaji ndani ya familia ni rahisi kuonekana tabia yake kuliko mwanaume.hivi trend ya wanaume wenye choyo na wanawake wenye choyo ipi kubwa? sie mje hapa na story za kusema amechepuka ana watoto nje hayo ndio mambo yetu
Mwenzenu kwani mleta uzi ni me au ke?Mwenzetu au mwenzenu?!
Mwenzenu kwani mleta uzi ni me au ke?
okey ni sawa kwenye hilo la kusema kushirikiana na mkewe hapo anaweza tukasema kakosea japokua siwez kuhukumu moja kwa mojaUnasikia kaka inatakiwa huyo mwanaume kwanza ajiulize wenzake wanaoshirikiana na wake zako kwa kila jambo wametumia njia gani ikiwezekana naye aitumie. Sidhani kama kuna kinachoshindikana.
Asiwe mwepesi wa kuja huku kulalamika wakati kuna wanawake kibao wanashirikiana na wanaume zao kwa moyo mmoja.
dah mwanaume kuwa mchoyo kama sjaisikia may b maswala ya mahitaji mara nying iko kwenu ila nahis kwenu nyie iko kwa kias kikubwa sana dadaTunaweza tukawa sawa ila kwa kuwa mama ndio muwajibikaji ndani ya familia ni rahisi kuonekana tabia yake kuliko mwanaume.
Hujajua kaka kuna wanaume ni wachoyo acha kabisa.
Wapo kaka fuatilia na utagundua ninachokwambia.dah mwanaume kuwa mchoyo kama sjaisikia may b maswala ya mahitaji mara nying iko kwenu ila nahis kwenu nyie iko kwa kias kikubwa sana dada
kusema kufatilia sina uhakika kama ntaweza kufanya hilo ila kama ni kwel basi kuna kaz ipoWapo kaka fuatilia na utagundua ninachokwambia.
Hahahaaa! Mtani umezeeka sio bure.Soma vzr
Hahahaaa! Mtani umezeeka sio bure.
Hahahaaa! Haya bwanaaHujasoma alichoandika