Hahaha sawa mkuu itakua simu yako haina screenshot. Ila acha kua dragged na mangeMbona unawasiwasi mkuu kwenye maneno Yangu nimetaja neno kuibiwa? nimekwambia ingia ujue mengi kuhusu hizo kitu sijataja kuibiwa mkuu....Uwe na amani
Watu wa aina hiyo ndiyo mtaji mkubwa wa ccm hivyo usiwashangae sana mkuuTatizo hata husomi. Kila kitu kipo kwenye mtandao. Bei na Wateja wake zipo wazi kwenye mtandao. Idadi ya ndege zilizobaki zipo kwenye mtandao. Haya tuambie basi ukweli wako.
Typing error.USD 110 billion??????! Duh! Hivi hata hesabu za kuoanisha zinakushinda, ndege gani inayouzwa USD 110 billion???
Hamna ndege inauzwa usd 110 B. Rekebisha tafadhaliii...Nchi inaibiwa kwa mgongo wa kufufua ATCL. Mkiamka mtakuta mwenzenu kafika Bwanga akielekea home town(Chato).
Kitu cha usd110b mnaambiwa usd220. Pombe siyo chai.
Hivi ukinunua Almasi mgodini unafikiria thamani yake NI sawa Na bei ya soko la dunia?Ingia kwenye website ya hao wauzaji wa hizo ndege alafu uone inauzwa Bei gani then rudi huku uone umeambiwa Bei gani....
Ndiyo mkuu. Nilikosea kiundishi mkuu.Hamna ndege inauzwa usd 110 B. Rekebisha tafadhaliii...
Sasa ndiyo iwe karibu na bei ya kununulia?Hivi ukinunua Almasi mgodini unafikiria thamani yake NI sawa Na bei ya soko la dunia?
Thamani ya kwenye website Na mpaka ifike DAR lazima iwe tofauti.
Pori lipi? Tatizo lenu kukariri mambo.....ungekuwa mkweli ungesema na pori kabisa ili watu waende huko....lazima wapande,ina maaana wewe ukimiliki basi au hiace utakua safarini kila muda,na ukimiliki mabasi ma5 au 10km dar express utafanyaje?kwanza unakosaje mlo ukiwa TZ?MIHOGO,MAPERA,NDIZI ,MADAFU,MATEMBELE ,MICHICHA IMEJAA KIBAO HUKO MAPORINI.
unataka ulishwe?
Natabiri Rais tajiri kuliko wote Africa kufikia 2020 atatoka Tanzania.
hayo mambo yameshajadiliwa yote na ufafanuzi kutolewa tafuta uzi wa rafiki yako salary slip. KWANZA hao waliouziwa hizo ndege kwa bei hiyo ya chini na hizo ndege ziliuzwa kabla haya ya sisi kununua. Usisubiri unaowaamini waandike vitu ndio uvisimamie fuatilia mwenyewTatizo hata husomi. Kila kitu kipo kwenye mtandao. Bei na Wateja wake zipo wazi kwenye mtandao. Idadi ya ndege zilizobaki zipo kwenye mtandao. Haya tuambie basi ukweli wako.
Andika website yao tuingieIngia kwenye website ya hao wauzaji wa hizo ndege alafu uone inauzwa Bei gani then rudi huku uone umeambiwa Bei gani....
Ni kweli kabisa, kiwete hawezi kuingia kwenye mashindano ya riadhaThis is not our priority at all.
Mimi na yule tutaitumia hii ndege lakini kuna watu wanakufa kizembe sababu ya dawa huko hospitalini.
Maji safi na salama bado ni kitendawili katika nchi ambayo inalazimisha kukimbia wakati hata kusimama dede bado.
Hatukatai maendeleo ila yafuate vile vipaumbele ambavyo vitamgusa na kumnufaisha hata yule bibi wa kule Kolomije.
kwani hii za mfumo wa jet zishanunuliwa na kufika tz au ni ile ya zamani tuliyopewa na mchina baadae akatupokonya ikawa inaonekana comoroZile wataziita pangaboi. Hii watakwambia sio kipaumbele kwa sababu haipondeki. Mwingine umeshamsoma hapo juu kakosa pote kakimbilia quatation za mfariji wake Mange eti Tunaibiwa inanunuliwa kwa bei isiyo halisi.
kweli bado tunasafari ndefu...
Ebu Tuwekee hiyo Bei walio nunulia ili tujiridhishe.Sasa ndiyo iwe karibu na bei ya kununulia?
Una uhakika au ndio povu kimtindoNchi inaibiwa kwa mgongo wa kufufua ATCL. Mkiamka mtakuta mwenzenu kafika Bwanga akielekea home town(Chato).
Kitu cha usd110M mnaambiwa usd224.6M. Pombe siyo chai.
Kwa hiyo huwezi fanya maendeleo nyumbani kwako mpka umalize matatizo ulionayo?This is not our priority at all.
Mimi na yule tutaitumia hii ndege lakini kuna watu wanakufa kizembe sababu ya dawa huko hospitalini.
Maji safi na salama bado ni kitendawili katika nchi ambayo inalazimisha kukimbia wakati hata kusimama dede bado.
Hatukatai maendeleo ila yafuate vile vipaumbele ambavyo vitamgusa na kumnufaisha hata yule bibi wa kule Kolomije.
turudi kwny mjadala mkuuNyie ni kabila gani na chama gani hamna huruma na watz?..................Nipe uzoefu wako wa kupakatwa mbwa wewe....Umejuaje kwamba kinondoni au magomeni wanapakatana?....Wakuja wewe unaonesha huna malinda km koromije mwenzako....
huo sio utabiri ni maoni yako, utabiri ni maono yajayo kwa nguvu za kiroho ( be it roho mtakatifu au mwovu)Natabiri Rais tajiri kuliko wote Africa kufikia 2020 atatoka Tanzania.
huko ubungo si mbunge wako alisema anawaletea maji na ukamchagua na akashinda, sasa unalalamika nini? na katibu mkuu wizara ya maji ni ukawa mwenzenu simwambie, sisi inatuhusu nini?This is not our priority at all.
Mimi na yule tutaitumia hii ndege lakini kuna watu wanakufa kizembe sababu ya dawa huko hospitalini.
Maji safi na salama bado ni kitendawili katika nchi ambayo inalazimisha kukimbia wakati hata kusimama dede bado.
Hatukatai maendeleo ila yafuate vile vipaumbele ambavyo vitamgusa na kumnufaisha hata yule bibi wa kule Kolomije.