Kufumania sio kazi rahisi kama neno lenyewe linavyozungumzwa. Ni kazi inayohitaji maandalizi na kujitoa kisaikolojia na nguvu ya mwili. Unaweza kumkosa mke au ukajikosa mwenyewe.
Jamaa fulani mtaani kwetu hapa kalazwa hospitali kutokana kipigo alichopata alipokwenda kumfumania mkewe!
Jamaa aliyefumaniwa aliona njia pekee ya kujiokoa na kipigo na fedheha ni kupambana. Mwisho wa siku kamjeruhi vibaya mwenye mali yake.
Inauma sana, umemfumania mke wako akishughulikiwa na kisago cha mbwa koko umepata!!
Jamaa fulani mtaani kwetu hapa kalazwa hospitali kutokana kipigo alichopata alipokwenda kumfumania mkewe!
Jamaa aliyefumaniwa aliona njia pekee ya kujiokoa na kipigo na fedheha ni kupambana. Mwisho wa siku kamjeruhi vibaya mwenye mali yake.
Inauma sana, umemfumania mke wako akishughulikiwa na kisago cha mbwa koko umepata!!