Kwa waliosoma Udom

Kwa waliosoma Udom

Miken

Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
15
Reaction score
1
Nawaombeni kwa yeyote anayefahamu aliko kijana anayeitwa mmassy jerome ambaye alisoma Udom na alimaliza mwaka 2011.Huyu jamaa amewahi kuwa Spika wa bunge pale,mbunge na mwenyekiti wa kamati fulani.Naomba kufahamu aliko na namba yake ya simu kwa sababu namtafuta kwa gharama yoyote.Ukiwa unafahamu aliko au namba yake nitumie via 0713734894
 
Bwana Miken,nadhani sasa utafute kazi ya kufanya manake kama ni league na mimi huiwezi hata robo.Umekuwa na vita visivyojidhihirisha wazi na nafahamu lengo lako ni nini lakini katika hili wala usijaribu hata siku moja kutumia namba za watu ambazo umekuwa ukitumia tangia siku nyingi sana.Mimi ndiye MMASSY JEROME unayenitafuta kwa gharama yoyote.Namba uliyoweka hapo juu ni upuuzi tu unakuendesha manake nimeipiga nimezungumza na mweye nayo wala hausiki kabisa(labda kwa mlango wa nyuma)Kimsingi nipo Arusha na ninaishi Ngaramtoni kijiji cha Ekenywa na nakaa mtaa wa Forest karibu na kilima punda,mchana huwa nakuwa mjini makao mapya katika kituo cha Compassion Makao mapya,ukinikosa hapo utanikuta eneo la Jogoo House pale mjini duka la kwanza kama unaelekea soko kuu.Wasifu wangu ni mrefu kiasi,mweusi na ninavaa miwani na mara nyingi saa ya Gold mkono wa kulia.Huwa niko serious lakini pia napenda kucheka cheka pale ninapozungumza na mtu.Ni kweli nimekuwa mbunge pale UDOM,nImekuwa Spika na pia nimeongoza kamati/tume mbili tofauti,moja ilikuwa na jukumu la kuandaa kongamano la katiba ambalo lilifanyika kwa kumkaribisha Prof.Issa Shivji,na la tume ya Pili ilikuwa ya kufuatilia na kuchunguza uhalali wa kufukuzwa wanfaunzi 22 hapo mwaka 2010,kwa waliokutuma kwa nia zao waaambie nilipeleka ushahidi huo mahaka kuu kanda ya Dodoma kama ushahidi wa kutokufuata sheria na utaratibu wakati wa kukamata na kufukuza washukiwa wa mgomo na kesi yao bado inaendelea.Kwa sasa bado sijaacha siasa,Mimi ni Mwenyekiti wa CHADEMA akata ya Okaoni kule Kibosho Moshi Vijijini na mjumbe wa Mkutano wa wilaya wa chama.Ukinikosa mara nyingi wikiend nakuwa nimeenda Kibosho kijiji cha Mkomilo au Kwasadala kijij cha mbatakero.Kama unataka kunitafuta zaidi basi nipigie kwenye namba hizi 0767141643/0714141643/0786161643 ama ukipenda zaidi niandikie kwenye mmassyfm@yahoo.com.Ikishindikana nitumie barua kwenye personal adress yangu P.O BOX 16579 ARUSHA TANZANIA.Nafikiri sasa una taarifa za ziada kuhusu mimi na wala huna haja ya kuwasumbua tena wananchi kwenye mitandao.
 
Mkuu MMASSY, umemmaliza mbwembwe zote, umempa hadi mawasiliano ya ziada ambayo hakuyahitaji na labda alifikiri umejificha. Tunamsubiri aje na mbwembwe nyingine tena.
 
MMASSY umetisha balozi,am proud of u my classmate kwa 3yrz 2liyokua wote udom...umemaliza kila ki2 wa2 wengne hovyo.
 
Nawaombeni kwa yeyote anayefahamu aliko kijana anayeitwa mmassy jerome ambaye alisoma Udom na alimaliza mwaka 2011.Huyu jamaa amewahi kuwa Spika wa bunge pale,mbunge na mwenyekiti wa kamati fulani.Naomba kufahamu aliko na namba yake ya simu kwa sababu namtafuta kwa gharama yoyote.Ukiwa unafahamu aliko au namba yake nitumie via 0713734894
Wewe ni shushushu wa Mlacha au?mnavyopenda kutumiwa kama domestic utensils???.
 
huyo jamaa ni mjinga tusipoteze muda kushindana naye,mwache tuone mwisho wake nini lakini ajue mwisho wa ubaya ni aibu siku zote!!
 
namtafuta kwa gharama yoyote.Ukiwa unafahamu aliko au namba yake nitumie via 0713734894
Jamaa yetu unachungulia tu mbona hata 'like' hutoi au ni kweli umetumwa? Namba na jamaa umempata shukuru basi maana hapa JF ungetusumbua sana
wasiliana naye basi kwa
basi nipigie kwenye namba hizi 0767-141643 0714-141643 0786-161643 ama ukipenda zaidi niandikie kwenye mmassyfm@yahoo.com.Ikishindikana nitumie barua kwenye personal adress yangu P.O BOX 16579 ARUSHA TANZANIA. There are currently 13 users browsing this thread. (3 members and 10 guests)

 
majibu mazuri bwana mmasy, ila sema umesahau vitu viwili, cha kwanza jina kamili la huyo mtu anayekutafuta, pili, ana bifu gani na wewe? weka wazi, halafu mleta mada siku nyingine hii mada yako peleka kule kwenye habari mchanganyiko, sasa hapo nafasi ya kazi ni kumtafuta mmasy? kweli wewe ni msomi? eti kwa gharama yoyot, wengine wataomba vingine.
 
Nakukumbuka sana kaka Mmassy. Nakuombea siku moja uwe mbungu tena ikiwezekana 2015, gombea then unikumbushe kama utahitaji support. We were together Udom and know we are still together. Big up.
Ntakucall kaka muda si mrefu.
 
nawaombeni kwa yeyote anayefahamu aliko kijana anayeitwa mmassy jerome ambaye alisoma udom na alimaliza mwaka 2011.huyu jamaa amewahi kuwa spika wa bunge pale,mbunge na mwenyekiti wa kamati fulani.naomba kufahamu aliko na namba yake ya simu kwa sababu namtafuta kwa gharama yoyote.ukiwa unafahamu aliko au namba yake nitumie via 0713734894


kaka mbona hujajulisha wana jf kama umempata mana mwenyewe kajitokeza, usipende kutumika kama mbwa wa polisi.
 
Nawaombeni kwa yeyote anayefahamu aliko kijana anayeitwa mmassy jerome ambaye alisoma Udom na alimaliza mwaka 2011.Huyu jamaa amewahi kuwa Spika wa bunge pale,mbunge na mwenyekiti wa kamati fulani.Naomba kufahamu aliko na namba yake ya simu kwa sababu namtafuta kwa gharama yoyote.Ukiwa unafahamu aliko au namba yake nitumie via 0713734894

Haya ameshakuwekea mawasiliano yake sasa usije tena kutusumbua sumbua humu ndani hapa c mahali pake kuna majukwaa ya kuweka haya maujinga yako......
 
Miken wewe unatumika kama tambara la deki angalia maisha yako usitafutane na watu.kuchesembo kudikudi kumanya muni.
 
hahaha kasepa,ni sawa na jambaz sugu aliyetafutwa mda mrefu na police bila kupatikana then ghafla tu anajitokeza kituoni halafu anawauliza police "nani alikuwa ananitafuta",Lazima Police wanywee hapo.Hongera Mmassy kwa kumtoa kihelehele
 
Miken wewe unatumika kama tambara la deki angalia maisha yako usitafutane na watu.kuchesembo kudikudi kumanya muni.[/QU Kibosho moja ila mdau wangu umezidisha ukali
 
Back
Top Bottom