mkuu,nadhan unajua hadi kufikia mwaka 2009 bcom ilikua ndio hot course,so vijana wengi 2lokua tunamalza form 6 tukawa tunaikimbilia pasipo kujua demand yake ikoje huko sokon...ila sa hzi nkiangalia graduates wa hii kitu walioko huko mtaani na hawana ajira,napata wasiwasi sana.