nasikia ni elfu sistini kwa siku zote tano (j3 mpaka ijumaa) mkuuMalipo yatakuwa kiasi gani kwa siku na ni siku ngapi?Jamani bei ya kitaifa iwekwe hapa jukwaani ili tuijue.Najua watachakachua mpaka basi.Watakaoleta ufisadi wa malipo naomba tuwaweke hapa jamvini kwa majina na mahali walipo!
nasikia ni elfu sistini kwa siku zote tano (j3 mpaka ijumaa) mkuu
Mkuu kwani unadhani watendaji wa kata sio member wa jamvi? Kupunguza gharama na muda hapa ndo penyewe. Hii ni kwa faida ya wengi piaItakuwa vema kama utaenda kuulizia kwa mtendaji wa mtaa wako, ulikofanyia application ndio watakao kuwa na validy information
mi nimeckia ni elf 45 kwa cku
ingiaeni hapa National Bureau of Statistics Tanzania - NBS ndio kazi yao hao..
Malipo yatakuwa kiasi gani kwa siku na ni siku ngapi?Jamani bei ya kitaifa iwekwe hapa jukwaani ili tuijue.Najua watachakachua mpaka basi.Watakaoleta ufisadi wa malipo naomba tuwaweke hapa jamvini kwa majina na mahali walipo!