Kwa waliokutana na hii hali Rabininsia Memorial Hospital tujuzane

Ningependa unitumie zaidi Fomu ya tatizo lako la Akili lililogundulika.
Mm sina tatizo la akili nikuombe uwe unajifunza kuwatia watu moyo ukifanya hibyo utakuwa na amani usipende kuwakatisha watu tamaa kuna namna unawezanifikisha ujumbe wako
 
NAKWAMBIA KABISA...KIPIMO CHA DARUBINI(BS) NDIO KINA MAJIBU YA UHAKIKA...HIVI VYA MRDT USIPIMIE MTOTO UTAMUUA NA MALARIA HATA MBILI TU...UKIENDELEA KUIAMINI MRDT KUWA HANA MALERIA...KWA SABABU MRDT HAIWEZI KUGUNDUA MALERIA CHINI YA 4
Usiwe na msimamo wa upotoshaji

Sikiliza majibu haya ya
Ni kweli microscopy is the standard method for diagnosis ya malaria hata tafiti nyingi za kufanya comparison kati ya mRDT na microscopy kwamba ipi best ilikuja kuonekana microscopy method ni best ila changamoto inakuja kwamba lab personnel wengi inawawia ngumu kugundua mdudu wa malaria kwenye microscope wengi wanabahatisha. Matokeo yake watu wanaishia kuambiwa wana malaria 1, 2 au 3 na katika malaria reporting duniani hakuna sehemu malaria inatakiwa iwe reported hivyo.

Ukienda sehemu yoyote ukiona majibu ya malaria umeandikiwa malaria 1, 2 au 3 basi ujue hawajui wanachofanya. Malaria inakua reported kwa number of parasites counted/200 white blood cells hiyo ni according to WHO.
 
UKIFIKA KWA DOCTOR...MWAMBIE UKITAKA KUCHECK NINA MALARIA...NAOMBA USITUMIE MRDT...MWAMBIE NIPIME KWA BS...

MRDT Inaweza kudetect vidudu kuanzia vinne na kuendelea...kwahiyo kuanzia viwili au vitatu kurudi chini haiwezi gundua...wakati hivyo viwili ndo vinapelekeshaga...

IKIWEZEKANA UWE UNAENDA KWENYE STREET LABS...
Blah blah blah blah....Hivi kwanini mnapendaga kujivua nguo kwa kuandika kitu usichokijua tena kwa kujiamini?
 
Mm sina tatizo la akili nikuombe uwe unajifunza kuwatia watu moyo ukifanya hibyo utakuwa na amani usipende kuwakatisha watu tamaa kuna namna unawezanifikisha ujumbe wako

Hili ni Jukwaa huru na kamwe usilazimishe Watu kutokuja na Mawazo tofauti na yale ambayo Wewe huyataki. Basi ni kheri wakati unaanzisha huu Uzi wako ungesema hapo chini kuwa wale wenye Mawazo tofauti nawe tusipoteze muda wetu Kukuchangia na tuwaache wale ambao wangechangia unavyotaka Wewe ili ufurahi.
 
Hili ni Jukwaa huru na kamwe usilazimishe Watu kutokuja na Mawazo tofauti na yale ambayo Wewe huyataki. Basi ni kheri wakati unaanzisha huu Uzi wako ungesema hapo chini kuwa wale wenye Mawazo tofauti nawe tusipoteze muda wetu Kukuchangia na tuwaache wale ambao wangechangia unavyotaka Wewe ili ufurahi.
Basi ya,eisha ndugu endelea kutukana ukimaliza niambie
 
Rabininsia nadhani kuna shida katika ubora wa huduma. Mtoto wangu aliugua nilimpeleka hapo, alipimwa vipimo mbali mbali, nikatumia hela zaidi ya TZS 1m, hakuna walichogundua. Kila mara ikawa ni kupewa tu antibiotics ambazo hazikumsaidia zaidi ya kutuliza.

Baadaye nikaamua kumpeleka Hindu Mandal, daktari wa pale alitumia vipimo vile vile vilivyofanywa Rabininsia, na kusikiliza mapigo yake ya moyo na mapafu, akataja tatizo lililokuwa linamsumbua na akaeleza wazi hakukuwa na haja ya vipimo vyote vile alivyofanyiwa. Akamwanzishia tiba siku hiyo hiyo, ikawa mwisho wa shida aliyosumbuliwa kwa zaidi ya miezi 6. Mpaka sasa ni karibia miaka miwili.
 
Hivi lazima unitukane kuwa sijielewi

Hizi dispensary ndogo nyingi huwa wanawaza hela tu.... na lazima wamekuuzia dawa au kukuelekeza pakununua dawa....

Utateseka sana ukiwaza hivyo..... kuhusu kupona yawezekana kupona hakuhusiani kabisa man typhoid wala Malaria....

Mwili ni kitu cha ajabu sana, hao waliokuambia unywe Maji hawkukosea, kubali kuambiwa ujielewi....

Kama hauelewi mwili wako kwa kiwango hicho, vipi ukiwa na watoto 4 na mke na ukawa wahudumia wazazi wako, unafikiri watakuwa na risk ya level gani?

Tafuta mtu mwenye taaluma au daktari asiye na maslahi na wewe muelezee, maelezo yake yatakudhihirishia kwamba ujielewi....!
 
Kuw
Hili ni Jukwaa huru na kamwe usilazimishe Watu kutokuja na Mawazo tofauti na yale ambayo Wewe huyataki. Basi ni kheri wakati unaanzisha huu Uzi wako ungesema hapo chini kuwa wale wenye Mawazo tofauti nawe tusipoteze muda wetu Kukuchangia na tuwaache wale ambao wangechangia unavyotaka Wewe ili ufurahi.
Atia watu moyo ni mojanya ustaarabu katika majukwaa huru
 
Ang
Rabininsia nadhani kuna shida katika ubora wa huduma. Mtoto wangu aliugua nilimpeleka hapo, alipimwa vipimo mbali mbali, nikatumia hela zaidi ya TZS 1m, hakuna walichogundua. Kila mara ikawa ni kupewa tu antibiotics ambazo hazikumsaidia zaidi ya kutuliza.

Baadaye nikaamua kumpeleka Hindu Mandal, daktari wa pale alitumia vipimo vile vile vilivyofanywa Rabininsia, na kusikiliza mapigo yake ya moyo na mapafu, akataja tatizo lililokuwa linamsumbua na akaeleza wazi hakukuwa na haja ya vipimo vyote vile alivyofanyiwa. Akamwanzishia tiba siku hiyo hiyo, ikawa mwisho wa shida aliyosumbuliwa kwa zaidi ya miezi 6. Mpaka sasa ni karibia miaka miwili.
aalau siko peke yangu kuna mijitu humi ndanininabisha yu kila jambo naamini wanasoma huu ujumbe wako
 
Unaweza Kunionyesha hayo Matusi niliyokutukana?
Sichangai sana maana hata kujiunga kwako hapa ni mwaka huu hivyo we endelea sisi wazee tunajua nn maana ya jukwaa huru soma na jumne za wenzako kuhusu Rabinisia labda uwe ni mmoja wa wahusika na kama ndo hivyo chukua maoni ya wadau jirekebisheni
 
Kuw

Atia watu moyo ni mojanya ustaarabu katika majukwaa huru

Na ndiyo maana mapema tu nilisema kuwa ni lazima tu utakuwa na tatizo la Akili na nashukuru kwa jinsi unavyoendelea Kujibizana nami ndiyo unanithibitishia.
 
Blah blah blah blah....Hivi kwanini mnapendaga kujivua nguo kwa kuandika kitu usichokijua tena kwa kujiamini?
Nimeandika nilichoelekezwa...na ndio nlichoamini...na sitaki kubadili...

Na nikienda kwa daktar ni uhuru wa kumuambia sitaki MRDT...
 
Saw
Na ndiyo maana mapema tu nilisema kuwa ni lazima tu utakuwa na tatizo la Akili na nashukuru kwa jinsi unavyoendelea Kujibizana nami ndiyo unanithibitishia.
Sawa na wagonjwa wa akili wako wengi Tanzania wamesema kila watu wanne mmoja anatatizo hilo
 
walinimbia kuna vijidudu 2 huwa wahakosekani ukinywa maji ya kutosha huwa tatizo linaisha na kweli limeisha

Kweli hujielewi.... mbona walikwambia ununue dawa mpaka ulipokosa ndo story ingine? Ungewaambia na ya malaria huna wangekwambia unywe maji Kama ulivyoambiwa awali
 
Back
Top Bottom