Kwa waliokutana na hii hali Rabininsia Memorial Hospital tujuzane

Hizi dispensary ndogo nyingi huwa wanawaza hela tu.... na lazima wamekuuzia dawa au kukuelekeza pakununua dawa....

Utateseka sana ukiwaza hivyo..... kuhusu kupona yawezekana kupona hakuhusiani kabisa man typhoid wala Malaria....

Mwili ni kitu cha ajabu sana, hao waliokuambia unywe Maji hawkukosea, kubali kuambiwa ujielewi....

Kama hauelewi mwili wako kwa kiwango hicho, vipi ukiwa na watoto 4 na mke na ukawa wahudumia wazazi wako, unafikiri watakuwa na risk ya level gani?

Tafuta mtu mwenye taaluma au daktari asiye na maslahi na wewe muelezee, maelezo yake yatakudhihirishia kwamba ujielewi....!
Mimi nadhani tunachobishania hapa siyo mtu mwenye taaluma ya udaktari bali ni usahihi wa vipimo. Nilichogundua mimi ni kuwa hata hawa madaktari bingwa bado hawajagundua tatizo lililopo kuhusu hivi vipimo. Hili jambo badala ya kukaa na kubishana kwa kusema mimi ni daktari, wewe huna taaluma nadhani itakuwa vizuri lifanyiwe research ya kina haswa na watu wanaochukuwa degree za mambo ya maabara na madaktari.
 
Kwa hyo unabishana na madaktari?
Hizi kauli za ''unabishana na daktari'' zipo sana Bongo. Japo unalotaka kujua ni kuwa daktari na mgonjwa wanatakiwa kujadiliana na siyo daktari kutumia turufu ya utaalam wake kufanya chochote anachotaka. BTW unafikiri madaktari huwa hawakosei? Tena sehemu zenye madaktari wa ''kufyatua'' kama Bongo ukienda kichwa kichwa watakudhuru vibaya sana.
 
Mkuu hili jambo huwa hata mimi nabishana sana na madaktari. Upimaji wa malaria wa siku hizi, huu wa kutumia MRDT ni mbovu sana. Unaonyesha tu pale malaria inapokuwa nyingi lakini ikiwa kidoho haionyeshi. Hili jambo nimelifanyia reasearch isiyo rasmi na naomba wale wanaolalamikia dispensary za uchochoroni kubambikia watu majibu wafanye utafiti. Niliwahi kuugua.... nina dalili zote za malaria japo zio zile za kumlaza mtu kitandani. Nikaenda hospital mbili kubwa wakanipima kwa kutumia MRDT wakasema sina malaria. Nikaenda ''hospital ya uchochoroni'' wakasema nina malaria +3. Nikapata matibabu ya malaria nikapona. Imeshanitokea mara tatu hivi kwenye kipindi cha miaka 5.


Unabishana na Drs???. Kwamba??. Wewe mwalimu wao??.
 
Mimi nadhani tunachobishania hapa siyo mtu mwenye taaluma ya udaktari bali ni usahihi wa vipimo. Nilichogundua mimi ni kuwa hata hawa madaktari bingwa bado hawajagundua tatizo lililopo kuhusu hivi vipimo. Hili jambo badala ya kukaa na kubishana kwa kusema mimi ni daktari, wewe huna taaluma nadhani itakuwa vizuri lifanyiwe research ya kina haswa na watu wanaochukuwa degree za mambo ya maabara na madaktari.


Kwa kwa akili yako kuubwa unafikiri matumizi ya MRDT yameanza bila kufanyiwa Tafiki za kina?.

Unafikiri hakuna ongoing monitoring juu ya effectiveness yake?

Unafikiri zinatumika Tanzania tu???.

Google - MRDT - sensitivity & specificity. Then Chagua articles nzuri nzuri, soma uelimike.
 
Kwa kwa akili yako kuubwa unafikiri matumizi ya MRDT yameanza bila kufanyiwa Tafiki za kina?.

Unafikiri hakuna ongoing monitoring juu ya effectiveness yake?

Unafikiri zinatumika Tanzania tu???.

Google - MRDT - sensitivity & specificity. Then Chagua articles nzuri nzuri, soma uelimike.
Nimesema hivyo baada ya kusoma. Sijakurupuka! Na nitasimamia maneno yangu. MRDT siyo nzuri kupima malaria ikiwa kiwango cha parasite ni kidogo. Darubini ni more effective japo nayo ina mapungufu yake i.e. inatakiwa technician awe vizuri.
 
Ni haki yako. Na kujadiliana ndio neno sahihi. Sio kubishana.
Nasemeje... hata kubisha huwa nabisha! Hasa kwa baadhi ya hawa madaktari wa kufyatua wa Bongo! Unaingia chumba cha dr anajifanya anajua kila kitu na ukijaribu kumwelesha vizuri anasema ''unabishana na mimi''? Mimi dr mjinga mjinga namna hiyo huwa naondoka na kumwacha! Kama wewe ni dr inaelekea uko kwenye hilo kundi. Kwani dr ni nani na asibishiwe?
 
Nilichogundua ni kwamba kumbe kila Mtanzania ni mtaalam wa afya. Mtoa mada unasema umekuwa mhanga wa Dengue, lakini malalamiko yako yana angukia kwa muda wa kupata majibu ya Malaria, UTI na FBP. Pengine ungewauliza wahusika ungepata majibu mazuri ambayo yasingekuleta kuja kulalamika humu. Kumbuka pia kuna method tofauti za kupima hivyo vipimo.
 
Nasemeje... hata kubisha huwa nabisha! Hasa kwa baadhi ya hawa madaktari wa kufyatua wa Bongo! Unaingia chumba cha dr anajifanya anajua kila kitu na ukijaribu kumwelesha vizuri anasema ''unabishana na mimi''? Mimi dr mjinga mjinga namna hiyo huwa naondoka na kumwacha! Kama wewe ni dr inaelekea uko kwenye hilo kundi. Kwani dr ni nani na asibishiwe?


Hongera sana boss. Keep it up.
 
Nimesema hivyo baada ya kusoma. Sijakurupuka! Na nitasimamia maneno yangu. MRDT siyo nzuri kupima malaria ikiwa kiwango cha parasite ni kidogo. Darubini ni more effective japo nayo ina mapungufu yake i.e. inatakiwa technician awe vizuri.


Good. Peleka findings zako na hoja za kusoma kwako kuhusu MRDT wizarani ili wabatilishe matumizi ya MRDT.

Hongera sana kwako mkuu. Utaokoa maisha na hela mingi
 
Back
Top Bottom