Kwa waliofanya written interview za MUHAS pale DUCE

Kwa waliofanya written interview za MUHAS pale DUCE

Nashukuru! once again tukutane MUHAS tulofanikiwa kupita ungwe ya kwanza pia msife moyo wenzetu ambao hamjapita ni Muhimu kujipanga vema na wakati mwingine Mungu atafungua njia hakuna gumu kwake yeye ndiye awezae.
 
Nashukuru! once again tukutane MUHAS tulofanikiwa kupita ungwe ya kwanza pia msife moyo wenzetu ambao hamjapita ni Muhimu kujipanga vema na wakati mwingine Mungu atafungua njia hakuna gumu kwake yeye ndiye awezae.
Amina... Hongera sana... Kila la kheri
 
Sizani kama kwenye maisha yangu nitakuja kufanya interview za utumishi ,sina hata CV yao wala profile yao wanayoitakaga,,,,
Yaani mimi nikifanya mpaka tano nkakosa naachana nao... Hii ilikua mara ya pili
 
Yaani mimi nikifanya mpaka tano nkakosa naachana nao... Hii ilikua mara ya pili
Yaani naona kwa kiasi kikubwa wanatengeneza mazingira ya kufeli,huwezi ita watu 600 kwa nafasi nne,,,,,niliwahi Fanya interview benk moja,yaan watu wawili tuligombania nafasi moja,,,nafasi zilikua 30 tuliitwa 60
 
Yaani naona kwa kiasi kikubwa wanatengeneza mazingira ya kufeli,huwezi ita watu 600 kwa nafasi nne,,,,,niliwahi Fanya interview benk moja,yaan watu wawili tuligombania nafasi moja,,,nafasi zilikua 30 tuliitwa 60
Hiyo ndo interview aisee
 
Habari,
Ningependa fahamu kama matokeo ya ile interview ya utumishi ya juzi 21/09/2018 yameshatoka? Na naweza yapata wapi?
Yeah tayari wametoa jana usiku, oral wameigawa wengine watafanya tar 24/09,wengine tutafanya tar 26/09,jumla ya watahiniwa 121wapo above 50 ila wamechukua kuanzia 64-76,jumla 23
 
Yaani wananipa presha mwenzenu...
@Fibs written tu,unapata presha hivi,je oral wanayosubiria wiki 3,hadi mwezi mzima si ndo utakonda kwa stress kabisa.

Ni bora ukose written uondoke kuliko,ukaenda hadi oral ndipo ukakosa huwa inauma so mchezo.
 
@Fibs written tu,unapata presha hivi,je oral wanayosubiria wiki 3,hadi mwezi mzima si ndo utakonda kwa stress kabisa.

Ni bora ukose written uondoke kuliko,ukaenda hadi oral ndipo ukakosa huwa inauma so mchezo.
Ila nasikia sometimes wanaofika oral wanaingia kwenye database na baadae nafasi zikitokea wanaitwa tu kazini
 
Back
Top Bottom