billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,496
- 1,755
Naungana na wewe wange endelea yaani ingekuwa non stop kama isidingo
upo sahihi mkuu.merlin imenifunza mengi kwanza kiongozi ni mtu anayejitoa kwa matatizo ya wananchi wake pia adui yako atoki mbali ebana mule kuna wasaliti balaa pia ukiangalia utagundua kuwa njia bora ya kutatua matatizo ni kusoma vitabu na kutafuta ushauri kwa watu wenyekujielewa licha ya uchawi ni tamthiliya kali ile mbaya