- Thread starter
- #21
Mshahara TZS 200,000 kwa mwezi. Rushwa inategemea na jitihada zako.
jambo usilojua ni kama usiku wa giza subiri kukuche unawe uso
Mshahara TZS 200,000 kwa mwezi. Rushwa inategemea na jitihada zako.
Kwa wale wote mliojaza b.a law enforcement udsm.hii ni degree special kwa ajili ya vyombo vya ulinzi na usalama na inatolewa udsm tu. mara nyingi jeshi la police limekuwa likiwachukua mapema kwa sababu wanawahi kutoa ajira na ukisoma law enforcement BALE kuajiriwa police ni 99% kama unapenda upolisi.
Idara zingine za law enforcement ni Uhamiaji, magereza,fire,PCCB,JW NA Usalama.
kozi hii huchukua wanafunzi 50 tu kwa mwaka na wanaotoka kazini huwa ni kama 25-30 hivyo toka form six moja kwa moja ni kama 20-25 inategemeana na mwaka .
uliza chochote ntakujibu nilisoma hiyo course.
walimu ni wa sheria udsm na maafisa wa police headq. ambao wanafundisha kozi mbalimbali za ulinzi na usalama
sorry kaka naomba unipatie muongozo kwa haya yafuatayo; 1. kwa mtu ambaye tayari Ni mwajiriwa inatakiwa awe na vigezo gani kujiunga na hiyo kozi. 2, je kwenye kutuma maombi Kama ana diploma ya sheria au form 6 anatakiwa kuambatanisha na cheti Cha polisi ili wamtambue Kama Ni Askari au wanamtambuajeKwa wale wote mliojaza b.a law enforcement udsm.hii ni degree special kwa ajili ya vyombo vya ulinzi na usalama na inatolewa udsm tu. mara nyingi jeshi la police limekuwa likiwachukua mapema kwa sababu wanawahi kutoa ajira na ukisoma law enforcement BALE kuajiriwa police ni 99% kama unapenda upolisi.
Idara zingine za law enforcement ni Uhamiaji, magereza,fire,PCCB,JW NA Usalama.
kozi hii huchukua wanafunzi 50 tu kwa mwaka na wanaotoka kazini huwa ni kama 25-30 hivyo toka form six moja kwa moja ni kama 20-25 inategemeana na mwaka .
uliza chochote ntakujibu nilisoma hiyo course.
walimu ni wa sheria udsm na maafisa wa police headq. ambao wanafundisha kozi mbalimbali za ulinzi na usalama
kwa mtu ambaye tayari Ni Askari na ana elimu ya diploma(sheria) au form 6, kwenye kutuma maombi anatakiwa kuunganisha na cheti cha uaskari au wanamtumbua vipi?? msaada tafadhali kwa wote mnaofahamu juu ya hili.Kwa wale wote mliojaza b.a law enforcement udsm.hii ni degree special kwa ajili ya vyombo vya ulinzi na usalama na inatolewa udsm tu. mara nyingi jeshi la police limekuwa likiwachukua mapema kwa sababu wanawahi kutoa ajira na ukisoma law enforcement BALE kuajiriwa police ni 99% kama unapenda upolisi.
Idara zingine za law enforcement ni Uhamiaji, magereza,fire,PCCB,JW NA Usalama.
kozi hii huchukua wanafunzi 50 tu kwa mwaka na wanaotoka kazini huwa ni kama 25-30 hivyo toka form six moja kwa moja ni kama 20-25 inategemeana na mwaka .
uliza chochote ntakujibu nilisoma hiyo course.
walimu ni wa sheria udsm na maafisa wa police headq. ambao wanafundisha kozi mbalimbali za ulinzi na usalama