Kwa waliochagua B.A Law Enforcement

Kwa waliochagua B.A Law Enforcement

EJay

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
693
Reaction score
174
Kwa wale wote mliojaza b.a law enforcement udsm.hii ni degree special kwa ajili ya vyombo vya ulinzi na usalama na inatolewa udsm tu. mara nyingi jeshi la police limekuwa likiwachukua mapema kwa sababu wanawahi kutoa ajira na ukisoma law enforcement BALE kuajiriwa police ni 99% kama unapenda upolisi.

Idara zingine za law enforcement ni Uhamiaji, magereza,fire,PCCB,JW NA Usalama.

kozi hii huchukua wanafunzi 50 tu kwa mwaka na wanaotoka kazini huwa ni kama 25-30 hivyo toka form six moja kwa moja ni kama 20-25 inategemeana na mwaka .

uliza chochote ntakujibu nilisoma hiyo course.

walimu ni wa sheria udsm na maafisa wa police headq. ambao wanafundisha kozi mbalimbali za ulinzi na usalama
 
Police hawaajiri sababu umesoma udsm bali nafasi hutangazwa na watu hujaza na kuchukuliwa acha upotoshaji dogo
 
Kwa wale wote mliojaza b.a law enforcement udsm.hii ni degree special kwa ajili ya vyombo vya ulinzi na usalama na inatolewa udsm tu. mara nyingi jeshi la police limekuwa likiwachukua mapema kwa sababu wanawahi kutoa ajira na ukisoma law enforcement BALE kuajiriwa police ni 99% kama unapenda upolisi.
Idara zingine za law enforcement ni Uhamiaji, magereza,fire,PCCB,JW NA Usalama.
kozi hii huchukua wanafunzi 50 tu kwa mwaka na wanaotoka kazini huwa ni kama 25-30 hivyo toka form six moja kwa moja ni kama 20-25 inategemeana na mwaka .

uliza chochote ntakujibu nilisoma hiyo course.

walimu ni wa sheria udsm na maafisa wa police headq. ambao wanafundisha kozi mbalimbali za ulinzi na usalama

mshahara una range ngap
 
Police hawaajiri sababu umesoma udsm bali nafasi hutangazwa na watu hujaza na kuchukuliwa acha upotoshaji dogo

udogo wangu umetokana na nini be civilized hakuna chuo wanafundisha law enforcement tz zaidi ya udsm kama huna qualification zake pole, kwa upande wa kujiunga na police ni kuwa hao wanapewa kipaumbele kwa sababu hiyo kozi kimsingi ni police science
 
Iyo coz mi naipenda. Ila mkuu nasikia coz inazingua sana iyo,haina lolote!
Wanaosoma kila siku wanalia coz haifahamiki.
 
Heri usome LLB kuliko kusoma kozi njaa kama hii ambayo mtu unaishia kuwa mlinzi wa benki usiku kucha alafu mshahara laki 2 na makato kibao,
 
Heri usome LLB kuliko kusoma kozi njaa kama hii ambayo mtu unaishia kuwa mlinzi wa benki usiku kucha alafu mshahara laki 2 na makato kibao,

Fanya unachopenda watu wanaangalia ajira kwa sasa na siku hizi hakuna hata form four anayelipwa hizo huna sifa kaa kimya..mbona mwaka jana LLB kibao walikuja usaili wakapigwa chini?
 
Iyo coz mi naipenda. Ila mkuu nasikia coz inazingua sana iyo,haina lolote!
Wanaosoma kila siku wanalia coz haifahamiki.

kusoma hii kozi 80% unakuwa afande tu wengi kwa kipindi hiki hubeza kipindi wakimaliza hizo kozi zingine na mtaani ajira hakuna ndo hukumbuka
 
Haina issue mkuu hiyo haikufanyi uwe wakili! Na kama tunavyojua uwakili unalipa sasa professional unaishia police nawashauri vijana wasome ll,b ndio inalipa usipozingatia haya utakuja kujuta ukiwakuta wenzio wako kwenye law firm wanapiga pesa vibaya.
 
Heri usome LLB kuliko kusoma kozi njaa kama hii ambayo mtu unaishia kuwa mlinzi wa benki usiku kucha alafu mshahara laki 2 na makato kibao,
Mkuu umenena law enforcement magumashi hailipi! Kujiajiri vigumu ajira kuu kwenye majeshi na huko kupanda cheo so rahisi kama mnavyofikiria
 
Iyo coz mi naipenda. Ila mkuu nasikia coz inazingua sana iyo,haina lolote!
Wanaosoma kila siku wanalia coz haifahamiki.
Mkuu so kwamba haifahamiki! Ni kwamba kujiajiri ni kazi sana mkuu binafsi siipendi kabisa
 
Mkuu...
Kama sijaelewa vile?
TGS E kwa ufaham wangu mdogo ni kwa watu waliosomea bachelor za uhandisi,mambo ya ardhi na sayansi. Sasa awa jamaa wa enfocerment wanaanzaje kupewa rate hii??
Ufafanuzi mkuu unahitajika
 
Kujiajiri ni kazi sana?kweli vijana Tanzania mnadanganyana sana,ndo maana hamuishi kuzunguka na mibahasha kuomba kazi,waoga kuface challenges!!
Mkuu so kwamba haifahamiki! Ni kwamba kujiajiri ni kazi sana mkuu binafsi siipendi kabisa
 
Mkuu...
Kama sijaelewa vile?
TGS E kwa ufaham wangu mdogo ni kwa watu waliosomea bachelor za uhandisi,mambo ya ardhi na sayansi. Sasa awa jamaa wa enfocerment wanaanzaje kupewa rate hii??
Ufafanuzi mkuu unahitajika

huku hawatumii hizo za kiraia mkuu ila ukilingalisha na hizo za kiraia ndo inaendana na TGS E mkuu kwa graduate
 
Haina issue mkuu hiyo haikufanyi uwe wakili! Na kama tunavyojua uwakili unalipa sasa professional unaishia police nawashauri vijana wasome ll,b ndio inalipa usipozingatia haya utakuja kujuta ukiwakuta wenzio wako kwenye law firm wanapiga pesa vibaya.

kila la heri mkuu huko sisi tuko na waliomaliza hizo llb wako wengi kitaa tu kutoka vyuo mbalimbali na baada ya kukaa mmoja kitaa wakiona hali halisi wanatamani kuja huku lakini hawana nafasi tena kwa hiyo siku ukimaliza niambie
 
Mkuu umenena law enforcement magumashi hailipi! Kujiajiri vigumu ajira kuu kwenye majeshi na huko kupanda cheo so rahisi kama mnavyofikiria

every one will fight for his or her own life wish you a goodluck just try to visit kurasini police on october you'll meet many llb holders at police interview
 
every one will fight for his or her own life wish you a goodluck just try to visit kurasini police on october you'll meet many llb holders at police interview

Mkuu hata huko police,magereza kufikia cheo chenye mshahara mzuri kama SUPERINTENDENT ni muda mrefu sana karibia miaka kumi ! Hali kadhalika magereza napo ni taabu graduate wanapewa ustaffsudgent wakisubiri nafasi za kwenda kusomea junior officer yaani assistant inspector( nyota moja) ,kwenye jeshi nako vipaumbele wameweka sana kwenye fani za sayansi, ukiingia huko hence Tanzania Military Accademy uje umalize ndo rais anawapa kamisheni yaani nyota moja na huko jwtz wanachukua sana fani za sayansi
 
Back
Top Bottom