Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 15,656
- 14,615
Kwakifupi huwa tunatumia umeme wa betri kazi ya solar panel ni kucharge betriDuuu, kwahiyo betri ndio inachaji solar panel?
Kwakifupi huwa tunatumia umeme wa betri kazi ya solar panel ni kucharge betriDuuu, kwahiyo betri ndio inachaji solar panel?
Mbona rahisi sana kujua hiyo solar panel ya watt30 itachukua muda gani kuchaji betri ya n40Hivi kama una betri n40 na ukafunga solar panel ya watts 30 je inaweza kuchaji hiyo betri?
Hivi kama una betri n40 na ukafunga solar panel ya watts 30 je inaweza kuchaji hiyo betri?
Kama 60w ÷12v=5ampUkinunua solar ya 60w itatumia masaa10 kujaza n40
Mbona rahisi sana kujua hiyo solar panel ya watt30 itachukua muda gani kuchaji betri ya n40
30w/12v=2.8amp hii ndiyo amp ya solar yako ukitaka kujua muda gani utatumika kuchaji betri LA n40 ÷2.8amp = 15hrs
Hapo utatakiwa uichaji kwa muda usiopungua masaa 15 ya jua
Hiyo 17v itakuwa betri mkuu nilazima kuwe na chaji kontro ili volt zisizidi12v au 13v hivyo nipo sahihi na wewe upo sahihi solar nilazima uwe na legurator za kufanya volt ziwe sawa hata jua likizidi kwa sababu volt zinatakiwa ziwe 12v kuchaji betri ya volt 12Nafikiri mahesabu yako umekosea.
Huwa yanapigwa hivi: 30W/17.5V=1.7Amps.
17.5V ni solar voltage at Peak Power, yaani solar voltage wakati hali ya jua iko kwenye kiwango kizuri kabisa.
Kiasi cha Amps kwa solar huwa kinabadilika kulingana na hali ya jua.
Hakiko stable.
Mahesabu ya solar yako complicated kidogo siyo kama ya system ambayo iko stable mda wote.
Hayo yote mm nayajua Mimi naunda hizo invertar ukitaka kumwelewesha mtu unatakiwa kutumia akili mfano hapo unachukulia tu ni 30w ujue jua likipungua hata watt ya solar upungua kwahiyo hapo utakiwi kumwelewesha MTU jinsi usemavyo wewe kwahiyo 30w÷ 12v ni sahihiNafikiri mahesabu yako umekosea.
Huwa yanapigwa hivi: 30W/17.5V=1.7Amps.
17.5V ni solar voltage at Peak Power, yaani solar voltage wakati hali ya jua iko kwenye kiwango kizuri kabisa.
Kiasi cha Amps kwa solar huwa kinabadilika kulingana na hali ya jua.
Hakiko stable.
Mahesabu ya solar yako complicated kidogo siyo kama ya system ambayo iko stable mda wote.
Hapo sasaDuuu, kwahiyo betri ndio inachaji solar panel?

Shukrani mkuu.. Panel 200w ina apere ngapi? Na 100w ina ampere ngapi?Kuunga pv parallel au series kunategemea system voltage.unapounga parallel unaongeza current na unapounga series unaongeza voltage. So unapoongeza current maana yake unaongeza uwezo wakujaza battery charge kwa haraka zaidi.
Panel ya 200W=200w/17.5=11.4Amps, Panel ya 100W=100w/17.5=5.7AmpsShukrani mkuu.. Panel 200w ina apere ngapi? Na 100w ina ampere ngapi?
Kama unayajua mahesabu usipotoshe watu.Hayo yote mm nayajua Mimi naunda hizo invertar ukitaka kumwelewesha mtu unatakiwa kutumia akili mfano hapo unachukulia tu ni 30w ujue jua likipungua hata watt ya solar upungua kwahiyo hapo utakiwi kumwelewesha MTU jinsi usemavyo wewe kwahiyo 30w÷ 12v ni sahihi
Hiyo Volt 17.5 ni kiwango cha kupigia mahesabu ya amperes za solar.Hiyo 17v itakuwa betri mkuu nilazima kuwe na chaji kontro ili volt zisizidi12v au 13v hivyo nipo sahihi na wewe upo sahihi solar nilazima uwe na legurator za kufanya volt ziwe sawa hata jua likizidi kwa sababu volt zinatakiwa ziwe 12v kuchaji betri ya volt 12
Kupata current ya panel unachukua power unagawanya kwa voltage ya panelShukrani mkuu.. Panel 200w ina apere ngapi? Na 100w ina ampere ngapi?
Kwakifupi huwa tunatumia umeme wa betri kazi ya solar panel ni kucharge betri
Unayajua mahesabu ya transform yanavyo fundishwa step kwa step ukiingia kwa undani kuna power inayo potea kwenye transformHiyo Volt 17.5 ni kiwango cha kupigia mahesabu ya amperes za solar.
Siyo kiasi cha kuchajia battery.
ndiyo maana lazima uwe na charge controller kama unataka battery yako isife haraka kwa ajili ya overcharging.
Tatizo huyo jamaa kakalili mambo ya umeme analeta ubishi usio na msingi ajui kuwa zipo solar za 30watt 24v ,32v nk hivyo hiyo hesabu yake ya kukalili itamtokea puaniKama vipi condoliza na iwiva tuanzishe thread ya solar pv system sizing nazani hii itatoa mwanga kwa watu wengi wenye maswali ya ninamna gani ya kufunga system nzuri ya solar ambayo mtu akifuata hizo steps hatajutia.
Mi mpaka saiz nachat simu naichaji kwa betri N40 na kipande cha solar cha watt 15 tu. Yaan huwa nawasha taa 5 na kusikiliza radio ndogo masaa 24 pia simu nachaji muda wowote. Nipo kilolo iringa hali ya jua sio nzur maana kuna baridi sana huku lakin watt 15 inajaza N40Hivi kama una betri n40 na ukafunga solar panel ya watts 30 je inaweza kuchaji hiyo betri?
Njia isiyo na shaka ya kujua watt na ampere ni kuiweka solar juani wakati jua lipovizuri kisha unachukua multimeter unapima output volt na ampere kisha unazidisha unapata watt sahihi ya solar yako siyo huyo boya anaropoka ovyo ajui zipo solar vimeo wanabandika tu stika za watts kumbe uongoKama vipi condoliza na iwiva tuanzishe thread ya solar pv system sizing nazani hii itatoa mwanga kwa watu wengi wenye maswali ya ninamna gani ya kufunga system nzuri ya solar ambayo mtu akifuata hizo steps hatajutia.