beltomaiko
Member
- Aug 19, 2012
- 13
- 0
Kwa wale ambao walikua na matatizo ya kuto atach picha ya mdhamini ambao majina yao yali be desplayed kwenye website ya bodi, ambao waliambiwa wazitume kwa njia ya ems na wakafanya hivyo, majina yao hayataonekana tena kwenye zile list mimi ni mmoja wapo na nimefanya hivyo na naona jina langu halipo kwenye ile list lilokuepo. Kwa hivyo bas il ujue ile barua yako ilisha wafikia na kufanyiwa kazi kaangalie jina lako kama lipo tena.