Kwa wale WordPress site developers: Plugin inayoweza kutoa na kupokea pesa Mpesa/AirtelMoney Imekamilika

Mkuu kazi safi lakini kikawaida unapotoa bidhaa inatakiwa ufocus zaidi kwenye bidhaa kwanza na kuisifia bidhaa kwa tips na hints ndogo ndogo kwa kiasi za kumuachia mteja maswali ili awe more interested na ukizidisha Clients wataanza kutilia mashaka.
Kuhusu wewe hiyo itakuja baadae baada ya bidhaa kufanikiwa kwenye industry.

Zaidi ya hapo hii promo imetisha na kazi imetulia bila shaka.
 
OFA MSIMU HUU WA SIKUKUU.png
OFA MSIMU HUU WA SIKUKUU.png
 

OFA MSIMU HUU WA SIKUKUU
NI ZAWADI GANI UNGEIPENDA ZAIDI MSIMU HUU WA SIKUKUU?



TUMEAMUA KUTOA PUNGUZO LA BEI KWA WATU WOTE WANAOTAKA KUANZA KUFANYA BIASHARA MTANDAONI 2023.

NI MFUMO WA MALIPO WA KWENYE TOVUTI YAKO UNAOFANYA KAZI NA MPESA , AIRTEL MONEY.

KUTOKA 400K MPAKA 100K .

WAHI OFFER HII KABLA HAIJAISHA.

KWA MASWALI NA MAJIBU. 0756431032

UTAUKUTA MFUMO HUU www.iziraa.com (jaribu kununua notes kwenye tovuti)
 
Abdul mobile payment plugin, hii haijawahi tokea. kwanza kama umeshawahi kujiuliza ikiwa kuna uwezekano wa mtanzania kutengeneza wordpress plugin, yenye kiwango cha hali ya juu kama hii ya kufanya malipo mtandaoni. Jibu ni kwamba yupo na anaitwa Abdul Bunju.

Kwa historia fupi. Abdul Bunju ni kijana mtaalam wa mambo ya Tehama, Ikiwa amejikita sana kwenye swala zima la Software engineering.

Yeye ni mtu anaependa kujiuliza maswali, na mwenye uwezo wa hali ya juu wa kutafuta majibu ya maswali hayo. Hapa namaanisha, ameanza kujifunza maswala ya tehama kwanzia akiwa secondary.

Na uelewa wake ulimfanya aanze kutengeneza software za aina mbali mbali.

Lakini hakuishia hapo maana mpaka sasa yeye ndie mtanzania pekee alioweza kutengeneza mfumo wa tofauti kuliko yote wa malipo mtandaoni.

Utofauti wake ni nini maana tuna wataalam wengi?​


Utofauti wake ni kwamba mara nyingi anafanya kazi zake mwenyewe. Pia amejifunza mwenyewe kutengeneza na ku-reverse engineer plugin za WordPress.

Tukiongelea kufanya reverse engineering. Ni kitendo cha kuelewa code zilizopo kwenye plugin flani na kuzibadilisha kwa kiasi ambacho utatengeneza kitu cha tofauti.

Utofauti mwingine ni kwamba anamaarifa makubwa pia katika swala zima la programming languages.

Maana amekuwa akijifunza kwanzia C,C++,PhP, VB.Net,Java,Kotlin,Javascript, angular.js, Laravel na python. Na kazi zake ni za kishindo.

Pia ana maono, nikimaanisha akianza kutengeneza kitu haishii hapo. Anapenda kuweka malengo ya baadae ya kitu anachotaka kuja kukiona. Huu ni ufahamu wa hali ya juu sana.

Kwa sasa hii ndio kazi yake ya kwanza, alieiruhusu kutangaziwa kwa watanzania wote, ingawa ana kazi nyingi zenye utofauti wa hali ya juu. Kazi hizi amenishauri kwanza nisiziweke.

Hii plugin inafanyaje na kwa nini imemtengenezea Abdul Bunju historia?​


Kwanza kwa wale waliosoma computer science na IT in general. Tunafaham kuwa, wengi wetu hatujifunzi kwa undani maswala ya API. Application programming interface. Na hapa ndio tunaweza kumpa mtu crown ya kuwa ndio IT wa kiwango cha hali ya juu. Ikifwatiwa na vitu vingine kama Artificial intelligence, gaming na Operating system ambayo nayo ni wachache sana wameweza kufikia.

Wordpress plugin hii inafanya mambo yafuatayo.

Kwanza inapokea pesa pale tu utakapo ingiza namba zako za simu (receive payment online)

Kinachohitajika tu ni kuweka namba yako ya simu na ku click lipa. Baada ya ku click lipa utapokea ujumbe kwenye simu yako , kwamba ingiza neno la siri ili uweze kufanya malipo. Ukiingiza tu, neno la siri, tayari utakuwa umeshanunua bidhaa unayotaka mtandaoni.

Mfano mzuri wa hii system ni kama kwenye site ya KIKUU. Hawa nao wanatumia mfumo huo huo lakini wameutengeneza kwa ajili ya site yao tu.

Hii ya Abdul Bunju mobile payment ni kwa ajili ya Tovuti(website) zote zinazotumia wordpress.

Kikubwa ni kwamba kwa kuwa ni system ya malipo ni lazima yeye kama mtaalam ndio aje akufungie.

Nitaipataje hii wordpress plugin ili niiweke kwenye website yangu?​


Kwanza inabidi utupigie simu na ututumie link ya website yako unayotaka tukufungie mfumo huu.
Pia jiunge na group letu la whatsApp https://chat.whatsapp.com/HMqMb9l29ZtC0tYPNIErys. Ili kuuliza au kuhitaji huduma kwa haraka.

Tukimaliza kuchunguza website yako,na ikiwa imekidhi vigezo, ndio tutakurudia ili tuje kukufungia mfumo wetu wa malipo.

Mfumo huu hauna mipaka. Ikiwa una wordpress site, ya tourism, hotel, restaurant, betting site, Dating site, you name it any.

Worpress plugin hii inaweza kukaa na ikafanya kazi vizuri.

Ata kama unataka kufungua website mpya, lakini kwa malengo ya kuuza service yeyote. Tukikufungia system yetu ya malipo, utapokea pesa zako kwa usalama na urahisi.

Vipi kuhusu kuhusu kutoa pesa?


Ndio, nayo ni rahisi sana, na haina tofauti na unavoweza kutoa pesa kwa njia ya mpesa au unavoweza kutoa pesa benki.

Kwa mawasiliano piga simu namba 0687 22 64 93/0756431032.​


Tutakuhudumia.

Kumbuka mfumo utaunganishwa na mitandao yote ya simu. Nikimaanisha TigoPesa,T-pesa, na Halopesa, Selcom na mingine yote.

Lakini kwa sasa unafanya kazi vizuri na M-pesa, AirtelMoney.

Mda si mrefu tutaweka video ya mfano, wa mtu tuliemfungia mfumo huu kwenye E-commerce yake.

Na kwa uhakika Tupo tayari kukuhudumia na wewe pia.
Uzi umeandikwa na Eng.Israel Ngowi. SEO expert in Arusha.AKA IZIwarii.

Wahi na ufanye biashara mtandaoni (online) ukiwa nyumbani.​


What about legal and tax aspects?
 
Is it a legal thing?
YESS it's legal. And about tax aspects it's simple. When you complete your documentation to Vodacom and Airtel money they will handle all legal issues for you. We just provide code for you to integrate with your website.
 
YESS it's legal. And about tax aspects it's simple. When you complete your documentation to Vodacom and Airtel money they will handle all legal issues for you. We just provide code for you to integrate with your website.

You need to explain more, unajali sana kuuza mpaka unasahau kutoa maelezo kwa wateja makini ya kutosha.

Hii software may be ni nzuri, ila improve na jipande kuielezea, unaielezea kirahisi sana. Ngumu sana kupata watu serious.
 
You need to explain more, unajali sana kuuza mpaka unasahau kutoa maelezo kwa wateja makini ya kutosha.

Hii software may be ni nzuri, ila improve na jipande kuielezea, unaielezea kirahisi sana. Ngumu sana kupata watu serious.
Ndio, Cha kwanza kumekuwa na uhitaji mkubwa wa mfumo wa malipo wa tovuti za wafanya biashara mtandaoni. Wafanyabishara na watu wanaotoa services mbalimbali kupitia tovuti zao. Kuna wale wanaotaka kulipisha watu kabla hawajafikia taarifa fulani kwenye tovuti zao, na kuna wale wanaotaka kulipisha watu kwa ajili ya kununua bidhaa fulani mtandaoni.
Sisi tumeliona hili. Na tulichofanya tumetengeneza mfumo unaoweza kufanya hivo. Na tumezingatia mfumo huu uwe mrahisi kuuweka kwenye tovuti yako.
Kuna wale wenye tours, hotels restaurants bar, or any direct or online service unayotaka kuuza ndani ya tovuti. na wangependa wateja wao wawe wanalipia huduma ndani ya tovuti. Kwa kupitia mpesa au airtel money. Na mfumo huu tulioutengeneza unaweza kabisa kufanya hivo.

kingine unafanya kazi na tovuti zote za wordpress. maana inaunganishwa na woocommerce kwaio kwa ufupi hii ni payment gateway plugin. Karibuni sana na asanteni. Ukiwa unataka bado maelezo kwa kina nipigie kwa namba hiyo ya ndani ya tangazo
To begin with, yes, there has been a great need for a method of online payment for e-commerce sites. Entrepreneurs and service providers who operate online. Some people would like to collect money from users in advance of their access to specific content on their websites, while others would like to implement similar fees for purchasing goods through the internet.
This is not new to us. We've built a system that's capable of doing just that. As an added bonus, we've made this system plug-and-play with your website.
Those who run tours, hotels, restaurants, bars, or any other direct or online service and want to charge their customers directly through the website are in this category. Through services like M-Pesa and Airtel Money. Our system is capable of doing exactly that.

Or else, you're able to work with any WordPress site. For the most part, this is a payment gateway plugin because it works with the WooCommerce shopping cart. Please accept my sincere appreciation and greetings. You can reach me at the number listed in the ad if you're still interested in more specifics.
 
Back
Top Bottom