Kwa wale wataalamu wa ku "code" & "programming"

Kwa wale wataalamu wa ku "code" & "programming"

de98

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2017
Posts
737
Reaction score
760
Wasalaam,
Napenda sana Kujihusisha na inshu za Ku "code" na natumain October ntaanza kusoma programming.Napenda kuomba ushauri ni application gani & website IPI ni nzuri kwa tutorial ya first learner (beginner) jinsi ya Ku code,natanguliza shukran kwa majibu mtakayonipa.
 
Wasalaam,
Napenda sana Kujihusisha na inshu za Ku "code" na natumain October ntaanza kusoma programming.Napenda kuomba ushauri ni application gani & website IPI ni nzuri kwa tutorial ya first learner (beginner) jinsi ya Ku code,natanguliza shukran kwa majibu mtakayonipa.
Language ipi? Angalia tutorialspoint.com
 
Naskia java ndio nyepesi kwa beginners
Kama ni Lectures ingia UDEMY na vitabu nenda Library Genesis; kuhusu lugha ya kuanza nayo nakushauri anza na c au c++ maana kama ni c++ utaweza kusoma structured oriented programming na object oriented programming kwa pamoja tofauti na java ambayo ni pure OOP
 
Kuna app inaitwa sololearn iko vzuri kwa beginner! Uzuri inakupa options za kujifunza lugha mbalimbali but also kuna section ya comments ambapo unaweza kupata majibu ya maswali uliyokuwa nayo kichwani and also utakapouliza swali kuna nafasi atleast 40 percent ya kujibiwa.

Kuhusu lugha gani ujifunze, nafikiri ni suala ambalo linabidi litegemee sana na swali hili, 'LENGO langu nini hasa?" mfano, lengo langu ni kuwa web developer, mobile developer, software developer, au kotekote..n.k..ukishalijibu hilo swali, I bet utakuwa na mwanzo mzuri

NI bora kwa mwezi huu ukautumia kwa kuziangalia hizi applications na websites wanazozitirisha wadau ili uangalie zile zinazomeet your profile. Tunajifunza kwa staili tofauti tofauti, wengine wanacatchup mapema kwa kutumia vitabu, kuangalia video, kusikiliza...n.k..therefore ukichagua application au website inayomeet your learning strength, zoezi la kujifunza linakuwa rahisi.
 
Pitia youtube wapo wengi wanatutorial nzur, totorialspoint.com, codeacademy.com, javatpoint.com zipo nying sana google
 
Kuna app inaitwa sololearn iko vzuri kwa beginner! Uzuri inakupa options za kujifunza lugha mbalimbali but also kuna section ya comments ambapo unaweza kupata majibu ya maswali uliyokuwa nayo kichwani and also utakapouliza swali kuna nafasi atleast 40 percent ya kujibiwa.

Kuhusu lugha gani ujifunze, nafikiri ni suala ambalo linabidi litegemee sana na swali hili, 'LENGO langu nini hasa?" mfano, lengo langu ni kuwa web developer, mobile developer, software developer, au kotekote..n.k..ukishalijibu hilo swali, I bet utakuwa na mwanzo mzuri

NI bora kwa mwezi huu ukautumia kwa kuziangalia hizi applications na websites wanazozitirisha wadau ili uangalie zile zinazomeet your profile. Tunajifunza kwa staili tofauti tofauti, wengine wanacatchup mapema kwa kutumia vitabu, kuangalia video, kusikiliza...n.k..therefore ukichagua application au website inayomeet your learning strength, zoezi la kujifunza linakuwa rahisi.
Nashkuru sana
 
Naunga mkono hoja, hii app mi mwenyewe imeshanisaidia sana ni nzuri kwa kweli wametengeneza mazingira rafiki sana kias ambacho unaweza ku-code na kufanya mazoez ya coding hapo hapo kwenye kiganja chako ukiwa na simu yako.

Mimi kwa kutumia app hii nmemaliza kusoma html na CSS na wamenituku vyeti vyangu na sasa naendelea na javascript! Welcome at sololearn!
 
Kama ni Lectures ingia UDEMY na vitabu nenda Library Genesis; kuhusu lugha ya kuanza nayo nakushauri anza na c au c++ maana kama ni c++ utaweza kusoma structured oriented programming na object oriented programming kwa pamoja tofauti na java ambayo ni pure OOP
Udemy ni my number one site kwa tutorials.
Kupata tutorials zake ambazo ni za kulipia waweza kupitia tovuti www.freeudemy.us

BTW Kuna shida gani mtu akianza na Pure OOP?
 
Kuna app inaitwa sololearn iko vzuri kwa beginner! Uzuri inakupa options za kujifunza lugha mbalimbali but also kuna section ya comments ambapo unaweza kupata majibu ya maswali uliyokuwa nayo kichwani and also utakapouliza swali kuna nafasi atleast 40 percent ya kujibiwa.

Kuhusu lugha gani ujifunze, nafikiri ni suala ambalo linabidi litegemee sana na swali hili, 'LENGO langu nini hasa?" mfano, lengo langu ni kuwa web developer, mobile developer, software developer, au kotekote..n.k..ukishalijibu hilo swali, I bet utakuwa na mwanzo mzuri

NI bora kwa mwezi huu ukautumia kwa kuziangalia hizi applications na websites wanazozitirisha wadau ili uangalie zile zinazomeet your profile. Tunajifunza kwa staili tofauti tofauti, wengine wanacatchup mapema kwa kutumia vitabu, kuangalia video, kusikiliza...n.k..therefore ukichagua application au website inayomeet your learning strength, zoezi la kujifunza linakuwa rahisi.
Mkuu nataka nijikite hapa ''software developer'' lugha gani ya kujifunza km beginner?
 
Udemy ni my number one site kwa tutorials.
Kupata tutorials zake ambazo ni za kulipia waweza kupitia tovuti www.freeudemy.us

BTW Kuna shida gani mtu akianza na Pure OOP?
Hakuna ubaya wowote na inategemea na lengo la mtu lakini kwenye kutanua maarifa ni bora mtu angegusa kote
 
Back
Top Bottom