Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
They Don't, I guess Son. They don't.
Guesing is not a gud thing!
They Don't, I guess Son. They don't.
Guesing is not a gud thing!
Tofauti ya 'used' na 'owned' ni ipi mkuu.
Halafu kuna mahali Smile amesema anapenda hoteli za dolari.
Hiyo system ya kufichaficha imepitwa na wakati siku hizi wanaotaka kucheat wanalezana ukweli LIVE. '' mimi nipo kwenye ndoa mwenzangu anaitwa fulani anafanya kazi sehemu fulani'' hivyo akitaka anyoe au asuke...........daaaaaah yaani bado kuna watu wanaongopeana tu???
Lizzy dearest, utapeli wa mapenzi unazidi kupaa kila siku. Excuse nzuri kuliko zote ni ile ya ' we have separated, it aint working no more', so hataki ex wake ajue, kuna watoto etc. This lie works kwa wale ama wana ugomvi temporary na unachezewa akili wakati mwenzio ana-solve issues zake, or else mwenza wake yuko masomoni na ana kazi ndogo tu ya kudanganya wanae. U won't show everyone ur new date if u ar not yet divorced, can u?
Unajua Smile,
Vijana siyo wabahili kama unavyosema.A single lad, has priorities and goals.
Spending money on a chick may not be his priority,
he would rather have you spend money on him lol.
Mume wa mtu, yeye anataka akupate kwa njia yoyote, abadili mboga lol kwa gharama.
Figure that out.
Halafu kuna mahali Smile amesema anapenda hoteli za dolari.
Hehehhehe . BADILI TABIA Ukikuta umeseviwa 'FUNDI' ukauliza utaambiwa ni kwasababu ya maujanja/maufundi yako.kwenye simu yake kakusave 'fundi ' au jina lako halisi( na si honey mpz darlin)