mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,222
sawa nta msamehemsamehe tu,maana kusamehe ndo mwanzo wa furaha
sawa nta msamehemsamehe tu,maana kusamehe ndo mwanzo wa furaha
tatzo langu nasaka kaz sipati yan mpaka najichukia
Sijalala hapa jirani yangu kaingiza dogodogo.. Kanatoa sauti murua mpaka usingizi umepea.
si lali maana kuna mtu alini udhi sana
Pole sana mkuu,we share the same problem,uko mtaani for how long now?
mnapenda story gani niwapigie
Pole ndg yangu Mwenyezi Mungu akujalie moyo wa subira,lakini zaidi akujalie ajira.as for me nime graduate 2011,naamini niko mule mulethree beautiful years
Stress yangu ni huyu mdada nilompachika mimba kabla hatujaoana. yani najihisi kama nimeyakosea maisha. mda mwingine natamani mda urudi nyuma ili niweze sahihisha kosa hili.
Stress yangu ni huyu mdada nilompachika mimba kabla hatujaoana. yani najihisi kama nimeyakosea maisha. mda mwingine natamani mda urudi nyuma ili niweze sahihisha kosa hili.