kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,764
- 3,940
Push ups 150? Za uhakika mkuu? Au zile kama unacheza ndombolo. Nimepumzika kwa sasa lakn umenikumbusha leo jioni inadidi nianze. Ila sijawahi kupiga zaidi ya 30 kwa awamu.
10 kidogo sana mkuu,angalau 200
CongratulationMimi huwa napiga kwa mafungu yaani 50x5 alafu natulia napoa.
Kuna aina ya push-up man, je push-up unazopiga...ni za nakoz (nuckles) mbili au zote ...na kama ni push-up za nuckles zote ni zile unakuwa kwenye flat surface au za kuweka miguu juu ya kitu kama jiwe, stuli au ukutani...150 push-ups mana ake uko fit,
na kama we unaona uko vizuri jaribu zile za vidole vitatu then uje unipe mrejesho......alafu utofautishe nuckle push-ups na palm-push-ups
Kila siku asubuhi nikiamka lazima nipige push ups zangu 60 kwanza kisha kwanza za kila aina .
Pamoja na sit ups
Nimeanza kuwa na mwili mpanga kama kabati
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umekuja ku-brag ama kukutana na wapenda push up mkuu!????
Anyway, ukipiga push up according to standard huhitaji kwenda gym kabisa..na mwili hautepeti hata ukiumwa.
Me nimeanza na 10mornie,20 jion,nakajitahidi kuongeza walau 5 kila baada ya siku tatu,now napiga 30 asbh,30 jion.its enough 4 me,mabadiliko nayaona kifua kinapanda wastani,sio Kama mwanzo kilikuwa Kama meza.
Za uhakika mkuuPush ups 150? Za uhakika mkuu? Au zile kama unacheza ndombolo. Nimepumzika kwa sasa lakn umenikumbusha leo jioni inadidi nianze. Ila sijawahi kupiga zaidi ya 30 kwa awamu.
Push up asubuhi bench press jioni. Lazima unoge kwelikweli
Kifua inakua kma gamba ya kobe
Sent using Jamii Forums mobile app
mnacoment kuliaTunaopenda JOGIING tunacomment wapi?
Natamani sana hizo,ndio zilikuwa zangu. Home kwangu nimetenga room kabisa. Ilikuwa kila asubuhi,saa moja na nusu namalizia hapo. Naanza na kuruka kamba na kichura hiyo dk 30 nakata. Nakuja push up zile za two nakoz tu,mkupuo wa 30,30 mara 5. Nakuja unashika mikono kwa nyuma kwenye kama mwamba wa kitanda,yaani unaukigeukia huo mwamba unashuka chini na kupanda. Mikono tu na visigino ndio vinakuwa vimeubeba mwili. Hayo mazoezi nimeanza nayo miaka 20 iliyopita. Sasa kilichokuwa kinanitokea kila nikikomaa mayo sana ilikuwa napata bawasiri, yaani kama vidude vinatokea sehemu ya haja kubwa,kama tuvidole tudogo hivi. Wakati wa haja,nikimaliza ile mishipa ya ndani inauma. Ikawa hiyo inakuja na kupotea nikawa naendelea na mazoezi huku nikitafuta tiba. Nimehangaika sana na tiba. Hivi ninavyoongea nimeacha mazoezi kabisa,kwa sababu sasa nikifanya tu kidogo napata maumivu makali balaa. Bado nahangaikia tiba,tiba ni adimu sana. Inaniuma sana nikikumbuka mazoezi,natamani mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kifupi gym nilishaacha kwenda long time nikaamua kuanza kupiga push up home tu!
Kwa kifupi huwa naenjoy sana hasa marafiki wakija kunitembelea huwa nawapa challenge ya kushindana na Mimi huwa nacheka sana baada ya push up 15 tu wanaanza kuhema kama mbwa koko!wakati Mzee mzima hapo naenda zaidi ya push up 150
Tukutane hapa wapenda mazoezi
Sent by Diaspora
Kweli, ukipiga aina zote za push up, na squats, ukiongeza na aerobic.. Unakuw vziru