Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,399
- 829,721
Duuh! Niwe na noah, na laki tano, haya changudoa wa nini? Sinatafuta mrembo mzuri tu mtaani kwetu au kwa jirani, kitu kuku wa kienyeji. Hayo ndio madhara ya kuanza mapenzi ukwubwani. Wengine wanalipa 50,000/= au zaidi eti bao moja kwa dada poa. Mungu wangu.
ni dereva alitaka kuosha ndani ya galaxy pub, na c mzoefu wa kulanduka ni amateur