Kwa wale wapenda dada poa!!

Kwa wale wapenda dada poa!!

I also noted some thing!hapa ni mnakubaliana!unam'do'!then unalala mbele!hakuna kumwandaa wala nini!
Mkuu utamu wa haya mambo ni kuandaana,vinginevyo hakuna maana kabisa!!
 
Bora jamaa kasema ukweli na hii fundisho wa wengine,kuliko yule mbunge/naibu waziri wa serikali,
yalivyomkuta kule morogoro,akatuletea habari ndivyo sivyo,na mpaka leo kimya kabisa.
 
hawa huwa tunawaendea kijesh jesh baaaas,

mguu pande!!!!!!!! unamaliza unasepa,
hakuna kuonyesha ufund,manake hata hakusikii manake yy anawaza pesa, wakati ww unawaza kichupa.

jamaa alivamia fan za watu, ukiwa mgen usijifanye mjanja,
bana kwenye kona angalia game linavyochezwa kwanza.
 
Hata kama jamaa alikuwa kalewa kwa madawa haikupaswa kutokwa kirahis hvyo na huyo malaya...unaweza kumchezea utakavyo ila iwe safe lodge funga mlango vizur then meza funguo ya rum(unaificha bila yeye kuona ilipo) then unaanza game hataweza kutoka labda avunje mlango na akivunja lazma atakamatwa na walinz au wahudum.
 
Huyu mjamaa vp?yupo na changu halafu anataka alete mbwembwe?changu ile unakamata mkono unatakiwa uwe chupi haitoshi,unajiburudisha then nduki lako yaani hata sura humwangalii na ukikutana naye saa moja baadaye humkumbuki!sasa huyu si ajabu alikuwa anamwimbia nyimbo za mahaba kabisa!
 
mara nyingi hata viatu huwa havivuliwi kwa wale viumbe!we ulianzaje kunyonya lukama?isije ikawa hata saltini ulizama
 
Kwa wale ndugu wapenda dada poa/malaya au kwa jina lingine wale wasichana wanaojiuza mnatakiwa kuwa makini nao sana. Hii ni baada ya kijana mmoja ambaye ni dereva wa noah kujikuta akiwa rumande baada ya gari la tajiri yake kuibiwa. Taarifa zinasema kuwa tukio hilo limetokea hapa jiji arusha baada ya kijana huyo kwenda kwenye baa maarufu iitwayo galaxy na kumuopoa dada poa mmoja ambaye walienda kujivinjari na bila kujijua dereva huyu alinyonya matiti ya binti huyo bila taadhari yoyote kumbe yalikuwa yamepakwa madawa ya kulevya. Baada ya hapo dada huyu alimwibia gari tajwa hapo juu pamoja na fedha taslimu laki tano. Mpaka mda huu ninapowakilisha ripoti hii gari lililoibiwa limepatikana likiwa tayari limeshaanza kuchinjwa(kubadilishwa vitu) likiwa tayari lilishabadilishwa engine.

Jamani ukichukua dadapoa na kama unapenda kunyonya matiti yaoshe na detol kwanza ndipo uyanyonye sana
 
du, pole zake,

hii imewapata wengi sana , sema hawaibiwi magar, sasa sana ni sim na pesa na vutu vingine km lap top nk.

ushauri unapo plan kwenda kujiliwaza na hawa viumbe ni marufuku kutembea na vitu vya thaman
on top of that wakifika wawe wanaenda kuoga nao!!wahakikishe wanaoga au wanawaogesha kabisa huenda itasaidia!!
 
Kuna watu wana moyo! Nimeamini kweli tuko tofauti!
Jamaa anafaa kuvaa bomu na kujitoa muhanga! Kuna vitu vingine havihitaji mbwembwe wakuu!
 
Kwa wale ndugu wapenda dada poa/malaya au kwa jina lingine wale wasichana wanaojiuza mnatakiwa kuwa makini nao sana. Hii ni baada ya kijana mmoja ambaye ni dereva wa noah kujikuta akiwa rumande baada ya gari la tajiri yake kuibiwa. Taarifa zinasema kuwa tukio hilo limetokea hapa jiji arusha baada ya kijana huyo kwenda kwenye baa maarufu iitwayo galaxy na kumuopoa dada poa mmoja ambaye walienda kujivinjari na bila kujijua dereva huyu alinyonya matiti ya binti huyo bila taadhari yoyote kumbe yalikuwa yamepakwa madawa ya kulevya. Baada ya hapo dada huyu alimwibia gari tajwa hapo juu pamoja na fedha taslimu laki tano. Mpaka mda huu ninapowakilisha ripoti hii gari lililoibiwa limepatikana likiwa tayari limeshaanza kuchinjwa(kubadilishwa vitu) likiwa tayari lilishabadilishwa engine.

ebwana ebu niambie hiyo galaxy inapatikana maeneo gani hapa arusha maana mie ndio nimetua juzi tuu hapa na nimtumiaji wa wale dada poa.
 


dah! ndio naiona sasa nilikuwa busy mchana ila itabidi niitafute hiyo galaxy ipo pqnde zipi anagalau nigegede hau madada wa hapo. ila mie wala sina mambo ya matiti...nambenjua style ya mbuzi kagoma kwenda nakumkojolea kwa raha zangu
 
Last edited by a moderator:
Itakuwa fundisho kwa wengi namshauri akamuone family DR wake coz you never know. hawa wanaume nao wamezidi sana wangeacha kuwachukuwa chukuwa mbona hiyo biashara ingekwisha. Mungu amsaidie sana iwe ni mwanzo na mwisho na amrudie Muumba wake.
 
Duuh! Niwe na noah, na laki tano, haya changudoa wa nini? Sinatafuta mrembo mzuri tu mtaani kwetu au kwa jirani, kitu kuku wa kienyeji. Hayo ndio madhara ya kuanza mapenzi ukwubwani. Wengine wanalipa 50,000/= au zaidi eti bao moja kwa dada poa. Mungu wangu.
 
Kuna matatizo mengi katika hili
1)watu kutokuwa makini na kudhamini mali walizonazo.
2)watu kutokuwa wasafi
3)watu kutokujua kuwa maisha yanachangamoto na jinsi ya kubadilika kulingana na wakati muafaka
 
Mkuu utamu wa haya mambo ni kuandaana,vinginevyo hakuna maana kabisa!!
Mkuu hilo utalifanya kwa mpenzi/mke wako tu!!kwa hawa ma'machinga' hilo halitawezekana!!utaambulia maumivu kama huyu ndugu yetu!!:nimekataa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom