Kwa wale wapenda dada poa!!

Kwa wale wapenda dada poa!!

Comi

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
3,328
Reaction score
958
Kwa wale ndugu wapenda dada poa/malaya au kwa jina lingine wale wasichana wanaojiuza mnatakiwa kuwa makini nao sana. Hii ni baada ya kijana mmoja ambaye ni dereva wa noah kujikuta akiwa rumande baada ya gari la tajiri yake kuibiwa. Taarifa zinasema kuwa tukio hilo limetokea hapa jiji arusha baada ya kijana huyo kwenda kwenye baa maarufu iitwayo galaxy na kumuopoa dada poa mmoja ambaye walienda kujivinjari na bila kujijua dereva huyu alinyonya matiti ya binti huyo bila taadhari yoyote kumbe yalikuwa yamepakwa madawa ya kulevya. Baada ya hapo dada huyu alimwibia gari tajwa hapo juu pamoja na fedha taslimu laki tano. Mpaka mda huu ninapowakilisha ripoti hii gari lililoibiwa limepatikana likiwa tayari limeshaanza kuchinjwa(kubadilishwa vitu) likiwa tayari lilishabadilishwa engine.
 
du, pole zake,

hii imewapata wengi sana , sema hawaibiwi magar, sasa sana ni sim na pesa na vutu vingine km lap top nk.

ushauri unapo plan kwenda kujiliwaza na hawa viumbe ni marufuku kutembea na vitu vya thaman
 
Mambo ya kuiga hayo changudoa unamnyonya maziwa unaujua usafi wake na ni wangapi waliyanyonya siku hiyo kama si kulishana mate.Mshauri aokoke ameshapata ushuhuda wa kutoa.
 
Jamaa anataka kufanya uzungu kwa changu!!!Hayo ndio madhara yake!Hao mtu ukifika unatakiwa umalize haja zako na kulala mbele na sio kutaka kuonyesha utaalam.
 
Tabu iliyopo watu wengine wanatumia vitu vya watu ili kuoshea na inapotokea hali kama hiyo wanakuwa wameingia katika matatizo makubwa sana
 
bora waendelee kufanyiwa hivyo labda wanaweza wakapunguza kidogo na hao machangu watafute mbinu nyingine mpya za kuwakomesha zaidi hasa hawa waajiriwa maana watakoma na madeni,safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kwa wale ndugu wapenda dada poa/malaya au kwa jina lingine wale wasichana wanaojiuza mnatakiwa kuwa makini nao sana. Hii ni baada ya kijana mmoja ambaye ni dereva wa noah kujikuta akiwa rumande baada ya gari la tajiri yake kuibiwa. Taarifa zinasema kuwa tukio hilo limetokea hapa jiji arusha baada ya kijana huyo kwenda kwenye baa maarufu iitwayo galaxy na kumuopoa dada poa mmoja ambaye walienda kujivinjari na bila kujijua dereva huyu alinyonya matiti ya binti huyo bila taadhari yoyote kumbe yalikuwa yamepakwa madawa ya kulevya. Baada ya hapo dada huyu alimwibia gari tajwa hapo juu pamoja na fedha taslimu laki tano. Mpaka mda huu ninapowakilisha ripoti hii gari lililoibiwa limepatikana likiwa tayari limeshaanza kuchinjwa(kubadilishwa vitu) likiwa tayari lilishabadilishwa engine.
Ni ajali kazini
 
du, pole zake,

hii imewapata wengi sana , sema hawaibiwi magar, sasa sana ni sim na pesa na vutu vingine km lap top nk.

ushauri unapo plan kwenda kujiliwaza na hawa viumbe ni marufuku kutembea na vitu vya thaman
kwanza kutembea na vitu vya thamani kwenye mazingira yasiyokuwa na utulivu wa kutosha ni kosa la kwanza.lakini kosa la pili ni pale mtu anapojifanya anajua sana mapenzi mpaka kwa asiowajua.hivi kuna haja gani ya kumnyonya mtu usie mjua?
 
Kwa wale ndugu wapenda dada poa/malaya au kwa jina lingine wale wasichana wanaojiuza mnatakiwa kuwa makini nao sana. Hii ni baada ya kijana mmoja ambaye ni dereva wa noah kujikuta akiwa rumande baada ya gari la tajiri yake kuibiwa. Taarifa zinasema kuwa tukio hilo limetokea hapa jiji arusha baada ya kijana huyo kwenda kwenye baa maarufu iitwayo galaxy na kumuopoa dada poa mmoja ambaye walienda kujivinjari na bila kujijua dereva huyu alinyonya matiti ya binti huyo bila taadhari yoyote kumbe yalikuwa yamepakwa madawa ya kulevya. Baada ya hapo dada huyu alimwibia gari tajwa hapo juu pamoja na fedha taslimu laki tano. Mpaka mda huu ninapowakilisha ripoti hii gari lililoibiwa limepatikana likiwa tayari limeshaanza kuchinjwa(kubadilishwa vitu) likiwa tayari lilishabadilishwa engine.

Niliyaka kuiamini habari hii lakini nimeshituka.
Kwanza uvumi wa matiti yaliyowekewa madawa ya kulevya ni wa siku nyingi sana.
Pili unasema gari lilikuwa linachinjwa(kudis mantle ) ili kuuza kitu kimoja kimoja, halafu wasema imebadilishwa engine . hapo ndo nimeishitukia habari!!!
 
safi saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana, hiyo iwe fundisho kwani tumewapa majina mengi mara Changu, malaya n.k huku tukiwaacha watumiaji salama kana kwamba hawa wanajichukuwa wao kwa wao
 
Kwa wale ndugu wapenda dada poa/malaya au kwa jina lingine wale wasichana wanaojiuza mnatakiwa kuwa makini nao sana. Hii ni baada ya kijana mmoja ambaye ni dereva wa noah kujikuta akiwa rumande baada ya gari la tajiri yake kuibiwa. Taarifa zinasema kuwa tukio hilo limetokea hapa jiji arusha baada ya kijana huyo kwenda kwenye baa maarufu iitwayo galaxy na kumuopoa dada poa mmoja ambaye walienda kujivinjari na bila kujijua dereva huyu alinyonya matiti ya binti huyo bila taadhari yoyote kumbe yalikuwa yamepakwa madawa ya kulevya. Baada ya hapo dada huyu alimwibia gari tajwa hapo juu pamoja na fedha taslimu laki tano. Mpaka mda huu ninapowakilisha ripoti hii gari lililoibiwa limepatikana likiwa tayari limeshaanza kuchinjwa(kubadilishwa vitu) likiwa tayari lilishabadilishwa engine.

Mkuu hili jambo limetokea zaidi ya week mbili zilizopita,..limetokea Pin Point_karibu na hiyo Gallaxy....mambo haya yapo longtime kitambo_sema jamaa alibugi step kidogo....pole yake lakin
 
Niliyaka kuiamini habari hii lakini nimeshituka.
Kwanza uvumi wa matiti yaliyowekewa madawa ya kulevya ni wa siku nyingi sana.
Pili unasema gari lilikuwa linachinjwa(kudis mantle ) ili kuuza kitu kimoja kimoja, halafu wasema imebadilishwa engine . hapo ndo nimeishitukia habari!!!

Habari ni ya ukweli mkuu...ila kuhusu kuchinja na engine sijui kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom