Kwa wale wanaotaka Magari Japan

Kwa wale wanaotaka Magari Japan

sokwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
2,022
Reaction score
1,062
Kwa wale wanaotaka Magari mapya na yaliyotumika kutoka japan. Kwa bei nafuu bila usumbufu, sasa nimefungua ofisi ilala karibu na post office, unaweza wasiliana na baba yangu mzazi kwa taratibu zote, au Mimi mwenyewe kwa namba +818044441220 au email yangu mgnjmoses@live.co.uk, ila sipo hapa sana kwa ajili ya Maswali ya hapa na pale, napatikana whatsapp kwa namba hiyo tajwa, asanteni.
 
not sure if you know the business ethics/ettiquetes
 
mkuu unatisha watu sasa hapo unaposema hutaki maswali namna iyo utapata wateja kweli?
 
Najua watu Kama nyinyi hamkosekani! Sipo hapa muda wote kwasababu nipo busy sana kwa hiyo siwezi jibu maswali wakati wote, nimesema ofisi ipo ilala kwa mawasiliano zaidi mpigie simu baba yangu 07484472008 or 0712272008 au unaweza wasiliana na Mimi mwenyewe namba nimeshataja! Sasa sijui shida ipo wapi!
 
Na sio biashara ya Magari tu pia nimeajiliwa, kwahiyo unaweza nicheki au unataka nijibu maswali papo kwa hapo itakuwa vigumu wakati mwingine.
 
Mikataba yote ya ulipaji anafanya Mzee na taratibu za kutuma pesa kwangu anafanya yeye pia unaweza shirikishwa kutegemea na muda wako, natuma zaidi truck kuliko gari ndogo kwasababu faida ya gari ndogo ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za ushuru na manunuzi na wakati mwingine gari zinakaa muda mwingi kabla ya kuuza kwa hiyo unajikuta umewekeza pesa nyingi kwa faida kiduchu! nipo ktk mipango ya kufungua website soon.
 
Mpe mama yako achambie k... Yake! Au unaonaje? Au mku... Unakuwasha unataka bwana.
 
Nina milioni mia nataka fuso tano,nitakupataje mkuu,au nimpe babaako au kama una dada nipe namba yake nimtumie, sitaki maswali we nipe namba yake

Hahahah nilitegemea hili
 
Mjomba sokwe unataka kudili na watu au nani? Naona umejiingiza sehemu siyo au wabongo huwajui? Nikupe sifa zao chache, hawa jamaa kwanza ni wezi wote kwaiyo watu kama hawa hata kukuamini ww ni shiada sana.
 
Sokwe: communication skills 100%, good customer care 100%. Wanajamvi kuagiza gari japan siyo issue ili mradi utumie kampuni zinazotambulika..... for more details visit: mpigie huyo kijana wa sbt : ikoy6317@sbtjapan.com, tembelea mnada wa japan www.tradecarview.com au nenda ofisi ya be forward iko opposite na Regency Hospital city centre, nk
 
Back
Top Bottom