Kwa wale wanaotaka kuwekeza kwenye mashamba ya miti

Mada nzuri hii kwa anayehitaji maeneo ya Mafinga/Mufindi anaweza kunicheki nitamsaidia namba ya jamaa mwenye mashamba pale na atamuuzia bei ambayo hatojutia nasema hivi sababu jamaa ameniuzia zaidi ya mara 2 na bei zake n murua sana Ukiwa na 1.5M unauhakika wa eka 10.
 
Wanaotaka kuwekeza kwenye miti wanaweza kuniona mashamba yapo Njombe Lugarawa Ugera.Nauza Shamba lenye miti sh.1,000,000 Kwa eka moja,shamba tupu lakupanda mwenyewe sh.600,000 karibu MAWASILIANO 0654889707
hii bei ni hatar sana...ila kila la kheri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…