Kwa wale wanaohitaji asali mbichi

Kwa wale wanaohitaji asali mbichi

Hakuna lololote asali inafanya sema unauza tuu kama kiburudisho au kinywaji. Hii asali inavyopambwa ni kama , Mayai ya kware, ufugaji wa kuchi, ufugaji wa sungura,
Harafu ameshaichanganya na sukari ya miwa kwa kuichemsha!!!!
 
Muonekano mpya baada ya kutumia asali mbichi
 

Attachments

  • JS.jpg
    JS.jpg
    7.5 KB · Views: 59
Unawezaje kutibu madhara ya jua kwenye uso wako?
Mpenzi msomaji wa JamiiForums,Unangoja nini hebu chukua hatua yakufanya yafuatayo;
chukua asali MBICHI kijiko kikubwa cha chakula,changanya na maziwa ya unga kijiko 1kikubwa cha chakula ,weka na juisi ya limau kijiko1kikubwa pamoja na mafuta ya olive nayo kijiko kikubwa ,tengeneza mkorogo huo wa vitu vyote 4 kisha paka kwenye uso nakufanya masaji kwenye ngozi yako kwa dk 15 baadaye osha uso kwa maji ya uvuguvugu na kausha,endelea kwa muda wa wiki moja mfululizo na matokeo yake yatakufanya uonekane mrebo zaidi
maziwa kazi yake nikufanya ngozi iteleze na kuwa nyororo.
asali nayo kazi yake kuifanya ngozi yako kungaa zaidi,pia
limau kazi yake niku breach ngozi na kufanya kuwa ya asili zaidi na
olive oil kazi yake ni kuondoa ngozi iliyokufa nakuleta ile inayong'ara
 
Mwaka 2018 uwe wa mafanikio kwako ukupe neema ya kula asali katika familia yako

Hata kama hutoweza kula asali kila siku basi walau kila wiki upate matumizi ya asali mara 2 ili uweze kuongeza kinga yako ya mwili mara 3 zaidi ikiwa utatumia asali mara kwa mara .Kutumia asali si kazingumu bali ni mpango unaotekelzwa mfano badala ya kutumia sukari sasaanza taratibu kutumia asali.
Matumizi ya asali safi kila siku hupunguza madhara yaletwayo na vyakula nyenye mafuta mwilini kwa kiasi kikubwa kwani hushusha viwango cha cholosteral.
Uaminifu,uhakika na ubora wa Asali ndio msingi wetu.

Tupo Shinyanga Mjini

Karibuni :0787238867
whatsAAP: 0787238867
Email: jmutagurwa@yahoo.com



 
HABARI


Bidhaa unayohitaji iko sokoni.Tunayo asali mbichi ya nyuki wakubwa inayotokana na miti ya mihale na miguu.
Unaweza kununua kwa sasa kama utalipa kwa airtel money shs10,000 kwa kg 1 kwa bei ya jumla.
Je nini unatakiwa kufanya? ni kuelezea wapi ulipo pamoja na anuani kamili nasi tutakutumia mzigo wako kadri ulivyo agiza.
Karibuni.
 

Attachments

  • asali2 033.jpg
    asali2 033.jpg
    54.7 KB · Views: 46
  • asali2 015.jpg
    asali2 015.jpg
    44.1 KB · Views: 41
ASALI mbichi inafaa zaidi kwa tiba.
Ina fanya kazi ya kuponya maradhi mengi mno,inaongeza sana damu.
Ili tumbo lifanye kazi yake vizuri jizoeze kula asali,kijiko kimoja kila asubuhi kabla hujala chochote.Pia.
Kipande cha mkate,maziwa na asdali ni mlo kamili.
 
ASALI unawezaje kutumia kama chakula ninaambiwa ukiweka kwenye cha au uji au chakula chochote chenye joto tayari ASALI inaharibika na kutengeneza sumu kwa anaejua atuelimishe kidogo hapa tusiojua
Ni kweli asali ukipasha moto sana inapoteza virutubisho, sio asali pekee hata mboga ukichemsha sana zinapoteza virutubisho muhimu
Kwahiyo ukitaka utumie asali kwenye chai au uji upoze huo uji au chai yako kidogo na mboga ukichemsha hadi zikawa rojorojo
 
Unaweza tumia Asali ,ndimu na maji ya uvuguvugu asubuhi sana kabla hujala kitu

chemsha maji yaache yapoe,chukua asali vijiko 2 vikubwa vya chakula weka ndimu kijiko 1 cha chai kisha changanya na maji yako yale ya vuguvugu uilyochemsha kisha kunywa.
Faida zake
  • utapungua uzito
  • utaupamwili joto
  • itakusaidia kusaga chakula vizuri
  • utaupa mwili nguvu kwa haraka kwa sababu asali ina chanzo cha nguvu
  • inatibu mafua,kikohozi na
  • pia itakusaidia kuondoa sumu mwilini na
  • kukinga uzalishaji wa sumu nyingine.
Kwa wale wanaohitaji Asali mbichi tuwasiliane kwa whatssapp 0787238867
 
ASALI yatajwa kuwa chaguo la kwanza kutibu kikohozi.Utafiti unaonyesha kuwa asilimia 80% ya watumiaji na walaji wa asali huitumia wakiamini inasaidia kujikinga na kutibu baadhi ya maradhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom