L. Forward
Member
- Jul 11, 2015
- 16
- 2
Hii ni facult inayocover masomo yote ya Sayansi au ni somo moja la sayansi tu??!! Msaada please ninataka niapply Open university ....this year .. na vp ajira yake???
Hii ni facult inayocover masomo yote ya Sayansi au ni somo moja la sayansi tu??!! Msaada please ninataka niapply Open university ....this year .. na vp ajira yake???
Ok. Unamaanisha wanaosoma kozi hii nilazima wajiajiri?? hakuna sehemu kama viwandani , nk....unaweza ajiriwa....!?ajira ujiajir coz 75% of pipo znategemea kilimo xo unaweza kjiajir
komaa na kilimo ww achana na ajiraOk. Unamaanisha wanaosoma kozi hii nilazima wajiajiri?? hakuna sehemu kama viwandani , nk....unaweza ajiriwa....!?