Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,930
Nimekuja na hii maada ili watu wapate kujua historia ya Mitume wa Mwenyezi Mungu, inchi walizozaliwa na walikuwa wangapi,
Hapa tunazungumzia Mitume wa Mwenyezi Mungu, siyo wanafunzi wa mitume,Mtume ni yule aliyechaguliwa na Mungu peke, ambaye hata riziki yake anayokula hutoka kwa Mungu, hategemei sadaka
(1) Adamu huyu alizaliwa au aliumbwa peponi, inchi aliyoishi ni Siri lanka
(2)Idrisa, huyu alikuwa mtoto wa Adamu na alizaliwa Iraki
(3)Nuhu alizaliwa Iraki
(4)Hud alizaliwa Yemeni
(5)Salehe alizaliwa Iraki
(6)Ibrahimu alizaliwa Iraki alikuwa rafiki wa Mwenyezi Mungu,na ndiye baba wa Mitume wote waliofuta na ni babu yake Yakobo, na ndiyo Mtume anayekubaliwa na Dini zote, yaani Wayahudi, wakristo na Waisilamu
(7) Luti alizaliwa Iraki, alitumwa kwa watu wa Sodoma na Gomora ambao walikuwa wanatenda zambi za kulawitiana, yaani mapenzi ya jinsia moja mwanaume kwa mwanaume
(8)Ismaili alizaliwa palestina ni mtoto wa Ibrahimu kwa mke wake Hajira alipelekwa kuishi makka pamoja na mama yake, na ndiko anakotokea Mtume Muhammad (S.A.W)
(9)Isahaka au Isaka, alizaliwa palestina ni mtoto wa Ibrahimu kwa mama yake Sala na ni baba yake na Yakubu auYakobo au babu yake Yusufu
(10) Yakubu auYakobo alizaliwa palestina, babe yake alikuwa Isahaka au Isaka ni mtume wa Mwenyezi Mungu, naye akawa Mtume, na mwanaye Yusufu akawa Mtume
(11)Yusufu alizaliwa palestina, alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu, na huku akiwa Mfalme wa Misri
(12)Ayubu alizaliwa Saudi arabia, alipata majaribu kutoka kwa Mwenyezi Mungu, lakini alisimama kwenye Imani yake
(13)Shaibu alizaliwa Syria alitumwa kwa watu wa Madiyani
(14)Musa alizaliwa Misri
(15)Harun alizaliwa Misri ni ndugu wa Musa, huyu aliombewa utume na ndugu yake Musa, sababu Musa alikuwa na matatizo ya kuongea urimi wake ulikuwa mzito, ili akamsaidie katika kazi ya kupambana na Jabali firauni,
(16)Daudi alizaliwa palestina,ni shujaa aliyemuuwa Goriati,
(17)Suleimani alizaliwa palestina, ni mtoto wa kwanza wa Daudi,Mungu alimpa uwezo wa kuongea na wanyama na kuwatawala majini
(18) Eliyasi alizaliwa palestina
(19)Elia alizaliwa palestina
(20)Yunus alizaliwa Iraki ndiye yule aliyemezwa na samaki aina ya chewa halafu akamtema ufukweni mwa bahari
(21) Dhul kafil alizaliwa palestina
(22) Zakaria alizaliwa palestina, ni baba yake na Yahya au Yohana mbatizaji
(23)Yahya au Yohana alizaliwa Syria ni mtoto wa zakaria,Yahya alikuja kutayalisha mapito ya Issa au Yesu
(24) Issa au Yesu alizaliwa Palestina kwa Mama yake Mariamu au Maria
(25) Muhammad (S.A.W) alizaliwa Saudi arabia
Hapa tunazungumzia Mitume wa Mwenyezi Mungu, siyo wanafunzi wa mitume,Mtume ni yule aliyechaguliwa na Mungu peke, ambaye hata riziki yake anayokula hutoka kwa Mungu, hategemei sadaka
(1) Adamu huyu alizaliwa au aliumbwa peponi, inchi aliyoishi ni Siri lanka
(2)Idrisa, huyu alikuwa mtoto wa Adamu na alizaliwa Iraki
(3)Nuhu alizaliwa Iraki
(4)Hud alizaliwa Yemeni
(5)Salehe alizaliwa Iraki
(6)Ibrahimu alizaliwa Iraki alikuwa rafiki wa Mwenyezi Mungu,na ndiye baba wa Mitume wote waliofuta na ni babu yake Yakobo, na ndiyo Mtume anayekubaliwa na Dini zote, yaani Wayahudi, wakristo na Waisilamu
(7) Luti alizaliwa Iraki, alitumwa kwa watu wa Sodoma na Gomora ambao walikuwa wanatenda zambi za kulawitiana, yaani mapenzi ya jinsia moja mwanaume kwa mwanaume
(8)Ismaili alizaliwa palestina ni mtoto wa Ibrahimu kwa mke wake Hajira alipelekwa kuishi makka pamoja na mama yake, na ndiko anakotokea Mtume Muhammad (S.A.W)
(9)Isahaka au Isaka, alizaliwa palestina ni mtoto wa Ibrahimu kwa mama yake Sala na ni baba yake na Yakubu auYakobo au babu yake Yusufu
(10) Yakubu auYakobo alizaliwa palestina, babe yake alikuwa Isahaka au Isaka ni mtume wa Mwenyezi Mungu, naye akawa Mtume, na mwanaye Yusufu akawa Mtume
(11)Yusufu alizaliwa palestina, alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu, na huku akiwa Mfalme wa Misri
(12)Ayubu alizaliwa Saudi arabia, alipata majaribu kutoka kwa Mwenyezi Mungu, lakini alisimama kwenye Imani yake
(13)Shaibu alizaliwa Syria alitumwa kwa watu wa Madiyani
(14)Musa alizaliwa Misri
(15)Harun alizaliwa Misri ni ndugu wa Musa, huyu aliombewa utume na ndugu yake Musa, sababu Musa alikuwa na matatizo ya kuongea urimi wake ulikuwa mzito, ili akamsaidie katika kazi ya kupambana na Jabali firauni,
(16)Daudi alizaliwa palestina,ni shujaa aliyemuuwa Goriati,
(17)Suleimani alizaliwa palestina, ni mtoto wa kwanza wa Daudi,Mungu alimpa uwezo wa kuongea na wanyama na kuwatawala majini
(18) Eliyasi alizaliwa palestina
(19)Elia alizaliwa palestina
(20)Yunus alizaliwa Iraki ndiye yule aliyemezwa na samaki aina ya chewa halafu akamtema ufukweni mwa bahari
(21) Dhul kafil alizaliwa palestina
(22) Zakaria alizaliwa palestina, ni baba yake na Yahya au Yohana mbatizaji
(23)Yahya au Yohana alizaliwa Syria ni mtoto wa zakaria,Yahya alikuja kutayalisha mapito ya Issa au Yesu
(24) Issa au Yesu alizaliwa Palestina kwa Mama yake Mariamu au Maria
(25) Muhammad (S.A.W) alizaliwa Saudi arabia