Kwa wale wa mwanza jamani,

Kwa wale wa mwanza jamani,

Kwa walio mwanza au wenyeji wa mwanzs wanisadie sehemu ambapo ntapata kazi yoyote ile ambayo haina uhitaji wa vigezo vya elimu
 
ndio maaana mafanyakazi mengi yakisitafu yanakuwa masikini ya kufa mtu sababu kama hizi linachezea mshahara kuchezea mshahara ni sawa na kufanya kazi bure kwa mwajili siku zinaenda umri ndio huo full vituko
Kula Papuchi ndio unakuwa Maskini. Utajiri ni akili ya mtu .unaweza uwe mstaarabu na umaskini ukakutawala. Dada wengi wanaliwa na mamtu yenye pesa. Limepark krugger, Prado linachukua dada poa linasepa nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom